Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Habari,
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha EWURA kuwa tayari baadhi ya wafanyabiashara wa mafuta wameanza kuficha mafuta ili wauze kwa bei ya juu kuanzia Julai 1 , na kujipatia faida maradufu.
Hatua zichukuliwe mapema kuwasaidia wananchi kutokana na adha itakayotukuta kwa kukosa nishati hii muhimu kwa matumizi ya magari na mashine nyingine.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha EWURA kuwa tayari baadhi ya wafanyabiashara wa mafuta wameanza kuficha mafuta ili wauze kwa bei ya juu kuanzia Julai 1 , na kujipatia faida maradufu.
Hatua zichukuliwe mapema kuwasaidia wananchi kutokana na adha itakayotukuta kwa kukosa nishati hii muhimu kwa matumizi ya magari na mashine nyingine.