Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Napenda kutoa taadhari wana JF na kuwaomba TCRA kuwa makini pindi wanapotoa leseni kwa makampuni ya kutoa huduma za malipo kupitia njia ya simu za mkononi.
Awali nilijulishwa huduma hii na watu wa star times niliposhindwa kulipia king'amuzi kwa njia MPESA wao wakanitajia njia nyingine ya Mula(150*78#).
Lakini sasa nimekuja kubaini ni wajanja fulani ambao pindi unapotumia njia hiyo lolote linaweza kukutokea,
1:Hawa jamaa katika MENU yao wameweka mawasiliano yao ya simu kwamba ukikwama au kukosea huweze kuwapigia lakini hiyo namba HAIPOKELEWI kamwe. namba ni 0755400006
2:Hawa jamaa hawana website bali ukurasa wa FB na katika ukurasa wao hawajaweka namna ya kuwapata bali wanakuelekeza tu,kutumia huduma zao,tazama .Mula Tanzania
3:Ukinunua huduma mhamala unaonesha walishachukua fedha lakini huduma hupati na hakuna namna ya kuwapata.
Nilichopata leo.
Asubuhi nilinunua umeme LUKU wa tsh 9150 na mhamala ukasoma kupitia MPESA,sikupata umeme,kwa kuwa namba yao huwa haipokelewi nimejaribu kuwapigia vodacom wanasema fedha walishachukua na mhamala umekamilika hivyo HAWATARUDISHA FEDHA labda niendelee kuwatafuta..
Kwa kuwa hakuna namna ya kuwapata nimeamua kununua umeme kwa njia nyingine lakini nikaona kutoa taadhari humu,ili husije ukapata hasara kama niliyopata.
Mhamala:
4JU7XW77B7 Imethibitishwa. Tsh9,150 imetumwa kwa CELLULANT MULA kwenye accounti namba 1109929 tarehe 30/10/17 saa 7:33 AM. Salio.......
Byabato
0754527358
Awali nilijulishwa huduma hii na watu wa star times niliposhindwa kulipia king'amuzi kwa njia MPESA wao wakanitajia njia nyingine ya Mula(150*78#).
Lakini sasa nimekuja kubaini ni wajanja fulani ambao pindi unapotumia njia hiyo lolote linaweza kukutokea,
1:Hawa jamaa katika MENU yao wameweka mawasiliano yao ya simu kwamba ukikwama au kukosea huweze kuwapigia lakini hiyo namba HAIPOKELEWI kamwe. namba ni 0755400006
2:Hawa jamaa hawana website bali ukurasa wa FB na katika ukurasa wao hawajaweka namna ya kuwapata bali wanakuelekeza tu,kutumia huduma zao,tazama .Mula Tanzania
3:Ukinunua huduma mhamala unaonesha walishachukua fedha lakini huduma hupati na hakuna namna ya kuwapata.
Nilichopata leo.
Asubuhi nilinunua umeme LUKU wa tsh 9150 na mhamala ukasoma kupitia MPESA,sikupata umeme,kwa kuwa namba yao huwa haipokelewi nimejaribu kuwapigia vodacom wanasema fedha walishachukua na mhamala umekamilika hivyo HAWATARUDISHA FEDHA labda niendelee kuwatafuta..
Kwa kuwa hakuna namna ya kuwapata nimeamua kununua umeme kwa njia nyingine lakini nikaona kutoa taadhari humu,ili husije ukapata hasara kama niliyopata.
Mhamala:
4JU7XW77B7 Imethibitishwa. Tsh9,150 imetumwa kwa CELLULANT MULA kwenye accounti namba 1109929 tarehe 30/10/17 saa 7:33 AM. Salio.......
Byabato
0754527358