Tahadhari tusiyoizingatia

Ni kweli mkuu hunitokea hata mimi lakini baadhi ya ishara zangu zinapotokea mwilini mwangu na nikajua jambo linakuja gumu ni vipi naweza zuia hyo hali au hatari ijayo isinitokee?
 
Ni kweli mkuu hunitokea hata mimi lakini baadhi ya ishara zangu zinapotokea mwilini mwangu na nikajua jambo linakuja gumu ni vipi naweza zuia hyo hali au hatari ijayo isinitokee?
Mara nyingi kuna sauti mbili zinaongea nawe kuhusu jambo hilo hilo moja...mazingira uliyonayo kwa wakati husika hukulazimisha kutii sauti mojawapo
 
Inawezekana chama sio katili lakini wanachama wake ni katili na waovu rejea yaliyotokea zanzibar wakati wa mkapa halafu urudi tena!
 
Lakini hili swala nadhani liko na sura mbili zenye kuchanganya.

Embu chukulia mfano-huu wa hili tukio hapa wahanga wanaonekana kuifuata hatari kwa nguvu zote.wanaowazuia wanazidiwa nguvu.wahanga wanaondoka wakiwa hawana hisia zozote, hii tunaita siku ya kufa nyani,,*.

Nyingine hii sasa ni wewe mhanga kukubariana na matakwa ya wengi wanaokuzuia, unaahirisha safari, kesho yake ukiwa unaondoka kama walivyotaka unakutwa na ya kukukuta.

Wahenga wanena kifo kina sumaku.
 
Hiyo sasa ni fate...! Kwamba imepangwa iwe hivyo na hakuna namna lazima itokee
 
Mshana nmefuatilia ile journey to the west anagalau nmeona mashart ya meditation nyama pombe havitakiwi kwa wale monks so meditation moja kwa moja ina link na Buddha? Je mbona monkey alieekti kule yy anaonekana kurelax Zaidi na ndio alikua akipambana na wale maadui yaan alikua na nguvu zaidi na kuelewa zile evil spirit pia kwel kuna mungu wa mvua n.k walivyoonesha kule? Au vingine ni fiction tu
 
Pia embu nielezee power of light and sound inavyofanya kazi ukishafika stage ya juu katika meditation
 
Ile sinema imekuwa exaggerated mno kuna mengi ya ukweli lakini pia kuna mengi zaidi ya uongo na kufikirika
 
Kitalaam wanasema mtu ukiwa na msongo wa mawazo ama kuufikirisha sana ubongo basi huchoka na hupelekea macho kucheza, na dawa yake ni kupumzika tu.
Sasa mbona mimi likicheza jicho kwa chini itatokea kugombana na mtu kwa kupigizana makelele?au ndo kujiaminisha hatimae inakua?
 
Huwa nikikaa nimetulia kuna matukio yanapita kama flash of lights, baada ya muda labda siku kadhaa tukio lile lile nililoliona linatokea kwa uhalisia na mazingira yale yale niliyoyaona before.

mshana jr hii inakuwa ni nini?
 
Huwa nikikaa nimetulia kuna matukio yanapita kama flash of lights, baada ya muda labda siku kadhaa tukio lile lile nililoliona linatokea kwa uhalisia na mazingira yale yale niliyoyaona before.

mshana jr hii inakuwa ni nini?
The concept of sixth sense seeing through time into future.... nafsi kupitia roho huweza kuona yajayo kupitia mlango wa sita japo nguvu yake ni ndogo kutokana na taratibu za maisha yetu lakini kuna wachache wana vipawa vya kuupa nguvu huo mlango
 
Jamani inasikitisha sana, mmoja kati ya walionusurika tulisomanaye Tabora Girls A level mwaka 1997-1999. sasa hivi ni mke na mama wa watoto
 

HAPO KWENYE RED ninakuja na maswali haya hapa chini
Vipi tukio la Soweto kwenye mkutano wa CHADEMA? ni chama gani kilihusika na tukio lile? vipi juu ya kesi ya Ugaidi ya Lwakatale ni chama gani kilihusika na kesi ile? vipi juu ya kuchinjwa kwa yule Mwenyekiti wa CDM Usarivar ni chama gani kilihusika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…