Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
watu wengi wamekuwa wakitoa maoni yao nchi nzima lakini watambue kuwa sio kila wanachokisema na kukipendekeza kitakuwepo kwenye katiba ijayo...na yatachambuliwa baadhi tuu...
hivo basi ni nini maana ya wananchi kutoa maoni hayo,,,,?
na jee kama ulichokisema hakitakuwepo tutafanyaje...?
na jee utaiunga mkono katiba mpya......?
TUTAFAKARI SANAA....................!
hivo basi ni nini maana ya wananchi kutoa maoni hayo,,,,?
na jee kama ulichokisema hakitakuwepo tutafanyaje...?
na jee utaiunga mkono katiba mpya......?
TUTAFAKARI SANAA....................!