Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF inabidi tukae tayari tujiandae nchi hii haitakuwa salama siku za mbeleni
Taasisi za kidini enzi za mwalimu zimekuwa kimya zikifanya mambo yake lakini baada ya kuingia utawala wa JK mambo yamekuwa tofauti. Mwaka 2005 Jk aliwalaghai waisalam kuwa ataanzisha mahakama ya Kadhi sasa hivi anakuja anasema hii kaiondoa kwenye Irani ya chama.
Serikali ya JK inafanya vibaya kuchanganya DINI na SIASA hii itasababisha vita siku za mbeleni.
JK kama huwezi kutekeleza unayosema kaa kimya nyoyo za watu zina HASIRA NA WEWE.
Je waisalamu wakiamua kupambana na Serikali nchi hii inaelekea wapi??
Kwanini JK anachezea imani za watu??
Taasisi za kidini enzi za mwalimu zimekuwa kimya zikifanya mambo yake lakini baada ya kuingia utawala wa JK mambo yamekuwa tofauti. Mwaka 2005 Jk aliwalaghai waisalam kuwa ataanzisha mahakama ya Kadhi sasa hivi anakuja anasema hii kaiondoa kwenye Irani ya chama.
Serikali ya JK inafanya vibaya kuchanganya DINI na SIASA hii itasababisha vita siku za mbeleni.
JK kama huwezi kutekeleza unayosema kaa kimya nyoyo za watu zina HASIRA NA WEWE.
Je waisalamu wakiamua kupambana na Serikali nchi hii inaelekea wapi??
Kwanini JK anachezea imani za watu??