CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu Hapa mkutano ulipo hakuna gorofa hata moja na ni stendi yenye miti hizo picha za mjengwa ni za uongo
Wakuu Hapa mkutano ulipo hakuna gorofa hata moja na ni stendi yenye miti hizo picha za mjengwa ni za uongo
Wakuu Hapa mkutano ulipo hakuna gorofa hata moja na ni stendi yenye miti hizo picha za mjengwa ni za uongo
maggid ni membe humu atakuja kujibu tuhuma hiziMkuu niko na china nitazituma baadae. Ila Hapa tulipo hakuna hata nyumba ya gorofa moja
Sasa baada ya uongo huu cuf wanapata faida gani?Hebu linganisheni picha hizi!
24th August 2010 - Umati wa watu uliomsindikiza Pr. Lipumba kuchukua fomu za kugombea Uraisi kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 mjini Dar es Salaam - Picha na Edwin Mjwahuzi wa the Citizen.
30th September 2012, CUF yaifunika Arusha - Mjengwa blog
Ningekuwa mod wa JF, mtu aliyeleta picha hii kuwa ni mkutano wa CUF Arusha ningempa ban yeye na ukoo wake wote!
Sasa baada ya uongo huu cuf wanapata faida gani?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums