Halisi,
Mimi naamini unachosema ni sahihi,sio kwa sababu nina ushahidi bali kwa vile kinawezekana kabisa.Sasa,kuna msemo wa kiswahili kwamba MCHAWI MPE MTOTO AMLEE!Je hudhani kwamba laiti ungewaanika majambazi hao na task force yao hadharani ingewafikishia ujumbe kuwa TUMESHAWANG'AMUA?
kama haoni kuwa inafaa kuwataja sasa hivi ni sawa, ila kama ulivyo sema tuwape watoto wetu watu lele. Hapa halisi ametumia high level language kutuma ujumbe. Kwamba miongoni mwetu kunawatu wamevaa ngozi ya kondo ndio maana kuna upotoshaji mkubwa na wa maksudi taarifa mbali mbali.