Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Kwa wale tunaopenda kujenga pembezoni mwa ufukwe wa ziwa ama bahari tuchukue tahadhali.
Jana habari fukwe za Afrika kusini zilivamiwa na mavimbi makubwa sana ya maji na kuharibu mali kwa kiwango kisichoelezeka.
Tukumbuke pia mwaka 2020 mvua ilinyesha ikavunja rekodi ya kiwango cha juu sana cha maji ziwa Victoria na kupelekea vifo vya watu zaidi ya 200 huko Kenya aliokua wakiishi kando ya Ziwa, huku Tanzania hakukua na maafa makubwa ila kulikua na uharibifu wa mali usio na kiwango kwa wakazi wa pembeni mwa ziwa.
Angalia mwenyewe.
View: https://twitter.com/Abramjee/status/1703089307953529104?s=19
Jana habari fukwe za Afrika kusini zilivamiwa na mavimbi makubwa sana ya maji na kuharibu mali kwa kiwango kisichoelezeka.
Tukumbuke pia mwaka 2020 mvua ilinyesha ikavunja rekodi ya kiwango cha juu sana cha maji ziwa Victoria na kupelekea vifo vya watu zaidi ya 200 huko Kenya aliokua wakiishi kando ya Ziwa, huku Tanzania hakukua na maafa makubwa ila kulikua na uharibifu wa mali usio na kiwango kwa wakazi wa pembeni mwa ziwa.
Angalia mwenyewe.
View: https://twitter.com/Abramjee/status/1703089307953529104?s=19