Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #81
hhhahahhaha, ati menopause? acha visa bana..
mwj1....mke/mume ukimchunga sana atakuletea vituko mpaka uone june/july...(pepo za kusi na kaskazi)
Muhimu kujipenda mwenyewe, kwa umri wetu huu ukijitia kuubeba wazimu wa mwenzio unatafuta kujizeesha
tu.
chukulia mfano umelala chumbani na mumeo, ati saa nane za usiku unamsikia anajisogeza pembeni ya kitanda,
kisha huyoo ananyata.......anafungua mlango wa chumba anatoka... unamsubiria weee, kumbe mwenzio kaenda chumba cha housegirl kupiga mbizi...utamlaumu? hakikisha akirudi mwambie akakoge janaba lake kwanza,
huna haja ya kugombana nae bana..."never argue with a fool" chizi sio lazima avae mfuko ya rambo kichwani.
vuta shuka ulale.
ayiii mkwe una vijineno weye.............................