MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
"labda?".... dahhh! macho yakiona moyo utatamani ee?
mimi nadhani tatizo sio housegirl, tatizo ni cheating....!
it's all about opportunity, kama mbuzi alavyo kwa urefu wa kamba yake.
Mbu................hivi ile kamba nlokufungia ni futi ngapi tena?? Naomba niiongeze urefu.
Going with a lady ndani ya nyumba yetu awe Housegal, binamu au rafiki aishie ndani ya nyumba yetu is unacceptable to me, no matter what darling.