Tahadhari kwa wanawake walioolewa


"labda?".... dahhh! macho yakiona moyo utatamani ee?
mimi nadhani tatizo sio housegirl, tatizo ni cheating....!
it's all about opportunity, kama mbuzi alavyo kwa urefu wa kamba yake.

Mbu................hivi ile kamba nlokufungia ni futi ngapi tena?? Naomba niiongeze urefu.

Going with a lady ndani ya nyumba yetu awe Housegal, binamu au rafiki aishie ndani ya nyumba yetu is unacceptable to me, no matter what darling.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mie niseme ukweli kabisa... kwa Mpenzi wangu nipo possessive, simuachi na binti mdogo awe mdogo wangu/binamu/house gal eti amhudumie kila kitu. Labda hio safari is not more than one week na ni dharura, otherwise namtafuta house boy. House gal tutaishi nae namimi nipo hapo nyumbani, yaaani alale nae kwa tamaa zake lakini sio sababu nililegeza kamba...

...hii inanithibitishia tatizo sio housegirl. Tatizo ni cheating!
kuna madingi wawili watatu nawafahamu na kuheshimiana nao
kabisa,..mmoja ni mzee wa kanisa...yeye alifumwa kitandani na binti yake wa kazi.

mwingine yeye kila ajaye nyumbani kwake, usiku ananyatia, haijalishi ni mpwae, binamu,
au shemejiye!....hawa wanakula kwa urefu wa kamba zao....yaani wao incest/taboo ndio mahanjamu yao...
hapo mke hata awe "mtumwa" na mnyenyekevu, jamaa ataonja onja tu.
 
House girl? To be honestly kwangu ni ngumu sana ladba sijui ajipambe vipi Kumzidi Mke wangu but House Girl and My Wife ni Viwango viwili tofauti kabisa

Albedo
Thank you for this useful post.

Mtambuzi
Take a note from Albedo............... inapendeza kwa mtu kujiheshimu and/or have limits! irrigardless of the housegirl's beauty of lack of it na sio kuparamia anything with a .......................
 
Mtambuzi
Just because jambo lilishawahi kujadiliwa hapa, doesnt make your reasoning any more valid than not! For instance I can buy into Bishanga's premise " House girl ni wanawake kama wengine", because Generally kama mumeo ni mchafu, then any woman's hole can do, so ..........................,!But validating mume kulala na house help kisa mkewe hajaenda kuchota na kumtengea maji ya kuoga or house girl hajaruhusiwa kwenda kulala na bwana wake Im sorry to say this, but that is ridiculously stup**!!!!

unafikiri napingana na wewe............ ndio maana nikasema ubarikiwe kama unaye mume au mupenzi mwenye utambuzi kama mie........ wapo wanawake wenzio wameolewa na wakajisahau na kwa kuwa waume zao hawana utambuzi wakaingia huo mtego...... mwisho wa siku walilala na hao ma-house girl...............
 
Mbu................hivi ile kamba nlokufungia ni futi ngapi tena?? Naomba niiongeze urefu.

Going with a lady ndani ya nyumba yetu awe Housegal, binamu au rafiki aishie ndani ya nyumba yetu is unacceptable to me, no matter what darling.

...mwj1, wajua mimi hili behewa nimelidandia kwa mbele tu leo...nisamehe kama sitaeleweka sawasawa...
msisitizo wangu unabakia pale pale, cheating is cheating, haijalishi ni housegirl, workmate, subordinate, employee,
supervisor, au mwalimu wake...hakuna justification ati huyu ana hadhi hii, huyu ana hadhi ile...

...anaye cheat na housegirl/houseboy/shambaboy/driver/au hata mlinzi wake...hana tofauti na anayecheat na walio sawa na yeye, au wanaomzidi hadhi!...

msinitapishe pilau yangu ya eid mwenyewe mwj1 kamwaga maufundi yote leo!
 
Mbu................hivi ile kamba nlokufungia ni futi ngapi tena?? Naomba niiongeze urefu.

Going with a lady ndani ya nyumba yetu awe Housegal, binamu au rafiki aishie ndani ya nyumba yetu is unacceptable to me, no matter what darling.

huyu mkwe wangu namjua hawezi thubutu.............
 
Mie niseme ukweli kabisa... kwa Mpenzi wangu nipo possessive, simuachi na binti mdogo awe mdogo wangu/binamu/house gal eti amhudumie kila kitu. Labda hio safari is not more than one week na ni dharura, otherwise namtafuta house boy. House gal tutaishi nae namimi nipo hapo nyumbani, yaaani alale nae kwa tamaa zake lakini sio sababu nililegeza kamba...

AshaDii, wasiwasi ni wako banaaa, bora imani!
Naamini kabisa kama kuna mapenzi ya kweli na kuheshimiana katika ndoa, basi mwanaume yoyote anaempenda mkewe na kuheshimu na kumthamni kwa dhati, hataendekeza upuuzi huu wa kuanza kumnyemelea ama kumtamani housegirl ama nduguzo wa kike.
 
Nakubaliana nawe AshaDii but nataka nikuelewe vema, so hapa Baba anaamua kulala na Binti huyu kwa kuwa tu anafuliwa, anapikiwa na kupigiwa pasi au?? Maana kwangu mie ninaidefine hii kama tamaa, lust which should be condemned!

Baba una tamaa zako, mimi sikutimizii matunzo toka nje nisikujue but kwa binti wa kazi?? ambaye ninamlea kama binti yako wa kumzaa??? Plz

Sijui kama huwa wanajiuliza after kumfunua huyo binti, heshima yake kwa mkeo inakuwaje! ayiiii!


MJ1 Moja ambalo inabidi ukubali ni kwamba mwanaume yoyote yule ambae ni lijali lazima ana tamaa once in a while hata kama anakupenda kuweza kula moto kwa ajili yako. Hivo basi hio tamaa imepishana ukithiri kati ya mwanaume mmoja na mwingine, kuna mwingine tamaa yake huja baada ya kumuona mwanamke wa aina fulani (labda makalio, boobs, mwanya n.k) whereas mwingine tamaa huja tu from the knowledge kua mwanamke alo mbele yake ana maeneo ya kuweza muingilia (Virgina) na environment inaruhusu kukamilisha tamaa yake.

Siku hizi akina mama huwezi ukawa mama wa numbani usijishughulisha, but hio sio ticket ya kusema uko busy mpaka binti yeye ndo aingie chumbani kwenu kuchukua nguo chafu (mwisho atagusa hadi vitambaa husika), au eti atatindike kitanda, au usafi.... OR eti upo nyumbani yeye aandae chakula mezani, aite chakula tayari.... NDIO ni vitu vidogo but this counts... hio hata kama mwanaume hakuwa na wazo huo binti anapoendelea kufanya hivo, tena siku zinaposonga ndo asidi kupendeza.... Ni moja ya vishawishi ambavo mtu waweza epusha.

Natolea Mfano:

Chukulia unaishi na mumeo, alafu maybe kakake kaomba aishi hapo nyumbani for six months (labda mwajiweza na nafasi ni kubwa ya nyumba)... Ok basi kabla hajaondoka lazima aje kwa wewe shemeji yake na akuage, akuulize kama kuna kitu unahitaji, maybe akupe na pesa kua ongezea kwenye matumizi, atakukuta jikoni or sebuleni moving something - haraka saana anakukatisha kua hapana Shem let me do it, unanyosha anakuja na kukueleza lete za mdogo wangu nikusaidie, unapika unataka kwenda chota maji nje anakukatisha "hapana let me", unatoka na gari kwenda shopping anakuambia "subiri shem hili gari mbona sijaona mkecheck oil" nakadhalika..... Hivo MJ1 ni vitu vidogo saana but vya weigh kuliko tu lile jina kua ni Mme: of coz mara nyingi akina mama unaweza usifanye kitu but ukampenda kabisa kuliko mumeo....

MJ1 sijui ndo nimekoroga zaidi??
 
Mwisho wa siku what matters ni mumeo anapenda nini. Kuna wale wanaume (nawaita gubu style) hali chakula chochote mpaka wife apike.

Sisi wengine waume zetu ukikaa muda mrefu jikoni unanuniwa; they want to spend quality time with us.

Hence akili za mbayuwayu changanya na zako.

Lakini kama alivyosema mbu cheating ni cheating tu; wa kucheat ata cheat no matter what. Enjoy your marriage lives guys stop worrying too much!
 

...hii inanithibitishia tatizo sio housegirl. Tatizo ni cheating!
kuna madingi wawili watatu nawafahamu na kuheshimiana nao
kabisa,..mmoja ni mzee wa kanisa...yeye alifumwa kitandani na binti yake wa kazi.

mwingine yeye kila ajaye nyumbani kwake, usiku ananyatia, haijalishi ni mpwae, binamu,
au shemejiye!....hawa wanakula kwa urefu wa kamba zao....yaani wao incest/taboo ndio mahanjamu yao...
hapo mke hata awe "mtumwa" na mnyenyekevu, jamaa ataonja onja tu.

Yes Mbu tatizo ni cheating.... But a cheater unapomlegezea kamba the probability ya cheating is raised, thus waepusha kwa hivo....lol... Na haya maneno yako ndo yana support hio post niloeleza mie siangalii house gal tu, naangalia binti aliopo hapo home, hata mdogo/dada angu.

AshaDii, wasiwasi ni wako banaaa, bora imani!
Naamini kabisa kama kuna mapenzi ya kweli na kuheshimiana katika ndoa, basi mwanaume yoyote anaempenda mkewe na kuheshimu na kumthamni kwa dhati, hataendekeza upuuzi huu wa kuanza kumnyemelea ama kumtamani housegirl ama nduguzo wa kike.


Imani ninayo..... Sio kwamba ndio hua najiweka juu juu kwa hili NO! What am saying is kupunguza access ya binti kwa mume wangu... Hivii unafikiri woote wanao cheat hawana mapenzi juu ya wenza wao? Tatizo hakuna mwanaume ambae atasema kua "yes i can sleep with the help" but ukweli ni kwamba wengi wanafanya hivo thou wapo wale wa vouluntary and involuntary pia.....
 

...mwj1, wajua mimi hili behewa nimelidandia kwa mbele tu leo...nisamehe kama sitaeleweka sawasawa...
msisitizo wangu unabakia pale pale, cheating is cheating, haijalishi ni housegirl, workmate, subordinate, employee,
supervisor, au mwalimu wake...hakuna justification ati huyu ana hadhi hii, huyu ana hadhi ile...

...anaye cheat na housegirl/houseboy/shambaboy/driver/au hata mlinzi wake...hana tofauti na anayecheat na walio sawa na yeye, au wanaomzidi hadhi!...

msinitapishe pilau yangu ya eid mwenyewe mwj1 kamwaga maufundi yote leo!

Umesomeka Honey.

MJ1 Moja ambalo inabidi ukubali ni kwamba mwanaume yoyote yule ambae ni lijali lazima ana tamaa once in a while hata kama anakupenda kuweza kula moto kwa ajili yako. Hivo basi hio tamaa imepishana ukithiri kati ya mwanaume mmoja na mwingine, kuna mwingine tamaa yake huja baada ya kumuona mwanamke wa aina fulani (labda makalio, boobs, mwanya n.k) whereas mwingine tamaa huja tu from the knowledge kua mwanamke alo mbele yake ana maeneo ya kuweza muingilia (Virgina) na environment inaruhusu kukamilisha tamaa yake.

Siku hizi akina mama huwezi ukawa mama wa numbani usijishughulisha, but hio sio ticket ya kusema uko busy mpaka binti yeye ndo aingie chumbani kwenu kuchukua nguo chafu (mwisho atagusa hadi vitambaa husika), au eti atatindike kitanda, au usafi.... OR eti upo nyumbani yeye aandae chakula mezani, aite chakula tayari.... NDIO ni vitu vidogo but this counts... hio hata kama mwanaume hakuwa na wazo huo binti anapoendelea kufanya hivo, tena siku zinaposonga ndo asidi kupendeza.... Ni moja ya vishawishi ambavo mtu waweza epusha.

Natolea Mfano:

Chukulia unaishi na mumeo, alafu maybe kakake kaomba aishi hapo nyumbani for six months (labda mwajiweza na nafasi ni kubwa ya nyumba)... Ok basi kabla hajaondoka lazima aje kwa wewe shemeji yake na akuage, akuulize kama kuna kitu unahitaji, maybe akupe na pesa kua ongezea kwenye matumizi, atakukuta jikoni or sebuleni moving something - haraka saana anakukatisha kua hapana Shem let me do it, unanyosha anakuja na kukueleza lete za mdogo wangu nikusaidie, unapika unataka kwenda chota maji nje anakukatisha "hapana let me", unatoka na gari kwenda shopping anakuambia "subiri shem hili gari mbona sijaona mkecheck oil" nakadhalika..... Hivo MJ1 ni vitu vidogo saana but vya weigh kuliko tu lile jina kua ni Mme: of coz mara nyingi akina mama unaweza usifanye kitu but ukampenda kabisa kuliko mumeo....

MJ1 sijui ndo nimekoroga zaidi??

Hujalikoroga mpenzi. Umefafanua vizuri nimekuelewa. Aksante ayiii mie hizi makitu bana ah zinanikatisha tamaa ya kupenda kwa kweli ayii
 
MJ1 Moja ambalo inabidi ukubali ni kwamba mwanaume yoyote yule ambae ni lijali lazima ana tamaa once in a while hata kama anakupenda kuweza kula moto kwa ajili yako. Hivo basi hio tamaa imepishana ukithiri kati ya mwanaume mmoja na mwingine, kuna mwingine tamaa yake huja baada ya kumuona mwanamke wa aina fulani (labda makalio, boobs, mwanya n.k) whereas mwingine tamaa huja tu from the knowledge kua mwanamke alo mbele yake ana maeneo ya kuweza muingilia (Virgina) na environment inaruhusu kukamilisha tamaa yake.

Siku hizi akina mama huwezi ukawa mama wa numbani usijishughulisha, but hio sio ticket ya kusema uko busy mpaka binti yeye ndo aingie chumbani kwenu kuchukua nguo chafu (mwisho atagusa hadi vitambaa husika), au eti atatindike kitanda, au usafi.... OR eti upo nyumbani yeye aandae chakula mezani, aite chakula tayari.... NDIO ni vitu vidogo but this counts... hio hata kama mwanaume hakuwa na wazo huo binti anapoendelea kufanya hivo, tena siku zinaposonga ndo asidi kupendeza.... Ni moja ya vishawishi ambavo mtu waweza epusha.

Natolea Mfano:

Chukulia unaishi na mumeo, alafu maybe kakake kaomba aishi hapo nyumbani for six months (labda mwajiweza na nafasi ni kubwa ya nyumba)... Ok basi kabla hajaondoka lazima aje kwa wewe shemeji yake na akuage, akuulize kama kuna kitu unahitaji, maybe akupe na pesa kua ongezea kwenye matumizi, atakukuta jikoni or sebuleni moving something - haraka saana anakukatisha kua hapana Shem let me do it, unanyosha anakuja na kukueleza lete za mdogo wangu nikusaidie, unapika unataka kwenda chota maji nje anakukatisha "hapana let me", unatoka na gari kwenda shopping anakuambia "subiri shem hili gari mbona sijaona mkecheck oil" nakadhalika..... Hivo MJ1 ni vitu vidogo saana but vya weigh kuliko tu lile jina kua ni Mme: of coz mara nyingi akina mama unaweza usifanye kitu but ukampenda kabisa kuliko mumeo....

MJ1 sijui ndo nimekoroga zaidi??

Hapo kwenye mfano wa huyo kaka umenifanya niogope kwamba huyu kaka/shemeji anaweza kuleta mageuzi/mapinduzi. Hata sisi wanaume inabidi tujiangalie sana. Si wanawake tu
Shukran kwa mfano mzuri
 
Yes Mbu tatizo ni cheating.... But a cheater unapomlegezea kamba the probability ya cheating is raised, thus waepusha kwa hivo....lol... Na haya maneno yako ndo yana support hio post niloeleza mie siangalii house gal tu, naangalia binti aliopo hapo home, hata mdogo/dada angu.


.....

Hapo kwenye RED kunanifanya niwaze mengi...........Is this applicable kwa pande zote mbili? Kuwa wanaume nao wanapaswa kuangalia kuwa wanatufunga kamba na kuwa hawazilegezi?? Au hii ni kwa wanawake tu?? Au ndo mie kwa kuwa ni mke basi natakiwa niwa ndo mfunga kamba, niongeze mafundo na kuhakikisha haikatiki, hailegei ayiiiiiii ah mie jamani menopouse inakuja vibaya!
 
MJ1 Moja ambalo inabidi ukubali ni kwamba mwanaume yoyote yule ambae ni lijali lazima ana tamaa once in a while hata kama anakupenda kuweza kula moto kwa ajili yako. Hivo basi hio tamaa imepishana ukithiri kati ya mwanaume mmoja na mwingine, kuna mwingine tamaa yake huja baada ya kumuona mwanamke wa aina fulani (labda makalio, boobs, mwanya n.k) whereas mwingine tamaa huja tu from the knowledge kua mwanamke alo mbele yake ana maeneo ya kuweza muingilia (Virgina) na environment inaruhusu kukamilisha tamaa yake.

Siku hizi akina mama huwezi ukawa mama wa numbani usijishughulisha, but hio sio ticket ya kusema uko busy mpaka binti yeye ndo aingie chumbani kwenu kuchukua nguo chafu (mwisho atagusa hadi vitambaa husika), au eti atatindike kitanda, au usafi.... OR eti upo nyumbani yeye aandae chakula mezani, aite chakula tayari.... NDIO ni vitu vidogo but this counts... hio hata kama mwanaume hakuwa na wazo huo binti anapoendelea kufanya hivo, tena siku zinaposonga ndo asidi kupendeza.... Ni moja ya vishawishi ambavo mtu waweza epusha.

Natolea Mfano:

Chukulia unaishi na mumeo, alafu maybe kakake kaomba aishi hapo nyumbani for six months (labda mwajiweza na nafasi ni kubwa ya nyumba)... Ok basi kabla hajaondoka lazima aje kwa wewe shemeji yake na akuage, akuulize kama kuna kitu unahitaji, maybe akupe na pesa kua ongezea kwenye matumizi, atakukuta jikoni or sebuleni moving something - haraka saana anakukatisha kua hapana Shem let me do it, unanyosha anakuja na kukueleza lete za mdogo wangu nikusaidie, unapika unataka kwenda chota maji nje anakukatisha "hapana let me", unatoka na gari kwenda shopping anakuambia "subiri shem hili gari mbona sijaona mkecheck oil" nakadhalika..... Hivo MJ1 ni vitu vidogo saana but vya weigh kuliko tu lile jina kua ni Mme: of coz mara nyingi akina mama unaweza usifanye kitu but ukampenda kabisa kuliko mumeo....

MJ1 sijui ndo nimekoroga zaidi??

unajua kuna kitu kimoja umejaaliwa kuwa nacho, labda mwenyewe hujui tu............... una utambuzi wa hali ya juu sana..
yaani nanufaika sana na michango yako humu jf...............
ahsante kwa kutupa ilmu ya bure..................
 
Hujalikoroga mpenzi. Umefafanua vizuri nimekuelewa. Aksante ayiii mie hizi makitu bana ah zinanikatisha tamaa ya kupenda kwa kweli ayii


MJ1... A Great heart i always say knows how to LOVE no matter umeumizwa mara ngapi.... It loves AGAIN, and again and again.... Hayo ni ya ziada dear... BUT Loving.... God it is a great feeling, it rejuvenates you, kukufanya ujisikie raha na amani wakati woote. Ukipata mwanaume wa kweli (anaweza kua wa uongo but waelewa tena mambo ya mapenzi) LIVE the moment. Furahia na acha kabisa kufikiria yakiharibika itakuaje.... Hapa naomba nim-qoute Teama (bahati nzuri hii topic tulikua woote) "Let Love lead the way"
 
MJ1... A Great heart i always say knows how to LOVE no matter umeumizwa mara ngapi.... It loves AGAIN, and again and again.... Hayo ni ya ziada dear... BUT Loving.... God it is a great feeling, it rejuvenates you, kukufanya ujisikie raha na amani wakati woote. Ukipata mwanaume wa kweli (anaweza kua wa uongo but waelewa tena mambo ya mapenzi) LIVE the moment. Furahia na acha kabisa kufikiria yakiharibika itakuaje.... Hapa naomba nim-qoute Teama (bahati nzuri hii topic tulikua woote) "Let Love lead the way"

This post has been the first post in JF kunitoa machozi.
Ubarikiwe AshaDii.
 
Hapo kwenye mfano wa huyo kaka umenifanya niogope kwamba huyu kaka/shemeji anaweza kuleta mageuzi/mapinduzi. Hata sisi wanaume inabidi tujiangalie sana. Si wanawake tu
Shukran kwa mfano mzuri

Niliona nikiweka both sides of the coin itaeleweka vizuri zaidi.... Thanks for your constant acknowledgement Sherriff......

Hapo kwenye RED kunanifanya niwaze mengi...........Is this applicable kwa pande zote mbili? Kuwa wanaume nao wanapaswa kuangalia kuwa wanatufunga kamba na kuwa hawazilegezi?? Au hii ni kwa wanawake tu?? Au ndo mie kwa kuwa ni mke basi natakiwa niwa ndo mfunga kamba, niongeze mafundo na kuhakikisha haikatiki, hailegei ayiiiiiii ah mie jamani menopouse inakuja vibaya!


Dear MJ1 hii ni applicable kwa woote, nawashangaa saana wanaume ambao wapo comfortable na kuacha ulinzi wa wapenzi wao (ladies) kwa marafiki in the name ya kum-chunga.... Anakua amemkabidhi fisi bucha, just take note sio woote na kuna exceptions.
 
Back
Top Bottom