Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 335
- 661
Nawasalimu kwa Jina la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwaka 2009 katika kombe hili hili lla shirikisho Timu inayoitwa Mundu SC kutoka TANZANIA visiwani ilikung'utwa bao 6-0 katika first leg na kumaliziwa 1-0 na hivyo kupasuka jumla ya goli 7-0.
Katika Droo iliyotoka hivi karibuni watanzania wenzao na Mundu yaani Simba SC wamepangwa na Red Arrow
Source: 2009 CAF Confederation Cup - Wikipedia
Mwaka 2009 katika kombe hili hili lla shirikisho Timu inayoitwa Mundu SC kutoka TANZANIA visiwani ilikung'utwa bao 6-0 katika first leg na kumaliziwa 1-0 na hivyo kupasuka jumla ya goli 7-0.
Katika Droo iliyotoka hivi karibuni watanzania wenzao na Mundu yaani Simba SC wamepangwa na Red Arrow
Source: 2009 CAF Confederation Cup - Wikipedia