Tahadhari kwa madereva hasa mnaoendesha usiku

akohi

JF-Expert Member
Jul 13, 2012
788
524
TAHADHARI!

Kama unaendesha Gari mida ya Usiku, na ghafla ukaona Mayai (Eggs) yamerushwa na kupiga kwenye KiOO cha Gari yako cha mbele, tafadhari sana USISIMAME, Usiwashe WIPER na wala usimwage MAJI kwenye KIOO chako cha mbele.

Sababu Mayai na Maji hubadilika kuwa maziwa na kufanya kitendo hicho utazuia kabisa uwezo wako kuona MBELE kiasi cha kukulazimu kusimama na kusababisha KUVAMIWA na MAJAMBAZI.

Na Majambazi wakishakuvamia sihitaji kukueleza nini kinatokeaga.

Mshtue mwanzako, ni moja ya Mbinu mpya zitumikazo na WEZI.
 
Shukrani kaka, hilo kwangu jipya kabisa ila tuombe Mungu yasiwe megi kiasi cha kukifunga kioo usione mbele mpaka kama km 2 hivi. Ili uwaache mbali hao watu kuntu.
 
 TAHADHARI!!

Kama unaendesha Gari mida ya Usiku, na ghafla ukaona Mayai (Eggs) yamerushwa na kupiga kwenye KiOO cha Gari yako cha mbele, tafadhari sana USISIMAME, Usiwashe WIPER na wala usimwage MAJI kwenye KIOO chako cha mbele, sababu Mayai na Maji hubadilika kuwa maziwa na kufanya kitendo hicho utazuia kabisa uwezo wako kuona MBELE kiasi cha kukulazimu kusimama na kusababisha KUVAMIWA na MAJAMBAZI. Na Majambazi wakishakuvamia sihitaji kukueleza nini kinatokeaga…. Mstue mwanzako ni moja ya Mbinu mpya zitumikazo na WEZI.
Mbinu nyingine ya zamani, hasa kwa wasfiri wa masafa marefu , ni tenga au kikapu kilichojazwa matofali au mawe.
Majambazi wanakifunga kamba kikspu hicho na kukitegesha upande wa pili wa barabara.

Wakiona gari inakaribia , wanakivuta pole pole kikapu hicho ili usimame kati kati ya barabara.
Kilichonisevu mimi, (hii ilitokea mida ya saa saba usiku, baada ya msitu wa Sao Hill nikielekea Makambako), ni mguu wa kuku.
Niliamua kurusha risasi vichakani na nikasikia jamaa wakiulaza.
 
🔴 TAHADHARI!!

Kama unaendesha Gari mida ya Usiku, na ghafla ukaona Mayai (Eggs) yamerushwa na kupiga kwenye KiOO cha Gari yako cha mbele, tafadhari sana USISIMAME, Usiwashe WIPER na wala usimwage MAJI kwenye KIOO chako cha mbele, sababu Mayai na Maji hubadilika kuwa maziwa na kufanya kitendo hicho utazuia kabisa uwezo wako kuona MBELE kiasi cha kukulazimu kusimama na kusababisha KUVAMIWA na MAJAMBAZI. Na Majambazi wakishakuvamia sihitaji kukueleza nini kinatokeaga…. Mstue mwanzako ni moja ya Mbinu mpya zitumikazo na WEZI.

Aksante mkuu kwa kutufahamisha hilo, maana wtz wana mbinu nyingi za kutafuta mshiko na hiyo ni mbinu mbadala du, amakweli kazi ipo..!!
 
...yap hiyo ya mayai nimeisikia,ukiwasha wiper ndo huoni mbele kabisaa,wanakudaka kama kuku wa mayai,ukiona yai paaa kwenye kioo jua tukio linakuja,so chapa lapa karekebishe mbele....
 
TAHADHARI!!

Kama unaendesha Gari mida ya Usiku, na ghafla ukaona Mayai (Eggs) yamerushwa na kupiga kwenye KiOO cha Gari yako cha mbele, tafadhali sana USISIMAME, Usiwashe WIPER na wala usimwage MAJI kwenye KIOO chako cha mbele, sababu Mayai na Maji hubadilika kuwa maziwa na kufanya kitendo hicho utazuia kabisa uwezo wako kuona MBELE kiasi cha kukulazimu kusimama na kusababisha KUVAMIWA na MAJAMBAZI. Na Majambazi wakishakuvamia sihitaji kukueleza nini kinatokeaga…. Mshtue mwanzako ni moja ya Mbinu zitumikazo na WEZI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom