Tahadhari: Kwa anayemjua Tapeli huyu

Tahadhari: Kwa anayemjua Tapeli huyu

Mshobaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
1,716
Reaction score
680
Heshima na utii zije kwenu wanajf wote: Kuna huyu dada alini inbox kwenye facebook na kunipa Email yake kisha akaniomba nimpatie mail yangu na bila hiana nikampatia baada ya hapo akaanza kunitumia jumbe mbalimbali akisema yupo Dakar Senegal nikawa naendelea kufuatilia ili nijue dhumuni lake,alinipa historia ya maisha yake ambayo ni ya kusikitisha flani hivi ili aniteke ki saikolojia kiukweli alinitumia ujumbe mrefu sana ambao kwa kuuangalia unaonekana kabisa umeandaliwa maalumu kwa kazi hiyo ya ki haini uliojaa kila aina ya stori na mwishowe ndipo nilipostukia ukiwa na nafasi za kujaza kwa ajili ya kutransfer money akidai nimtajie bank ninayotumia, jina kamili na mengineyo mengi kwa kweli huyu tapeli anayejiita kwa jina la Elizabeth Elizabeth kajipanga. Naomba nitoe rai kwenu ndugu zangu na watanzania kwa ujumla muwe makini sana na huyu tapeli hafai hata kidogo.Nawasilisha wakuu
 
Pole sana, hiyo msg alinitumia mwaka 2006/2007 na alifanya the same kama alichofanya kwako...wanafikiri tumelala coz tupo dunia ya 3
 
Heshima na utii zije kwenu
wanajf wote: Kuna huyu dada alini inbox kwenye facebook na kunipa Email
yake kisha akaniomba nimpatie mail yangu na bila hiana nikampatia baada
ya hapo akaanza kunitumia jumbe mbalimbali akisema yupo Dakar Senegal
nikawa naendelea kufuatilia ili nijue dhumuni lake,alinipa historia ya
maisha yake ambayo ni ya kusikitisha flani hivi ili aniteke ki
saikolojia kiukweli alinitumia ujumbe mrefu sana ambao kwa kuuangalia
unaonekana kabisa umeandaliwa maalumu kwa kazi hiyo ya ki haini uliojaa
kila aina ya stori na mwishowe ndipo nilipostukia ukiwa na nafasi za
kujaza kwa ajili ya kutransfer money akidai nimtajie bank ninayotumia,
jina kamili na mengineyo mengi kwa kweli huyu tapeli anayejiita kwa jina
la Elizabeth Elizabeth kajipanga. Naomba nitoe rai kwenu ndugu zangu na
watanzania kwa ujumla muwe makini sana na huyu tapeli hafai hata
kidogo.Nawasilisha wakuu

hawa wako wengi aisee mie nlishatumiwa nane na watu tofauti nikasema hawanipati n'gooo
 
Pole sana, hiyo msg alinitumia mwaka 2006/2007 na alifanya the same kama alichofanya kwako...wanafikiri tumelala coz tupo dunia ya 3

ni kweli waTz tuwe makini sana kwani tumewazidi maarifa hao vilaza
 
huo ni utapeli wa siku nyingi sana miaka ya 2000 na hawa watu walifanikiwa sana miaka hyo kutuibia sana mimi mwenyewe niliwatumia dola elfu 5 kwenye west union zamani walinitumia ujumbe wao huo wa kusikitisha sana mpaka nikamuonea huruma huyo dada mpaka nikaingia king mwenyewe
 
Heshima na utii zije kwenu wanajf wote: Kuna huyu dada alini inbox kwenye facebook na kunipa Email yake kisha akaniomba nimpatie mail yangu na bila hiana nikampatia baada ya hapo akaanza kunitumia jumbe mbalimbali akisema yupo Dakar Senegal nikawa naendelea kufuatilia ili nijue dhumuni lake,alinipa historia ya maisha yake ambayo ni ya kusikitisha flani hivi ili aniteke ki saikolojia kiukweli alinitumia ujumbe mrefu sana ambao kwa kuuangalia unaonekana kabisa umeandaliwa maalumu kwa kazi hiyo ya ki haini uliojaa kila aina ya stori na mwishowe ndipo nilipostukia ukiwa na nafasi za kujaza kwa ajili ya kutransfer money akidai nimtajie bank ninayotumia, jina kamili na mengineyo mengi kwa kweli huyu tapeli anayejiita kwa jina la Elizabeth Elizabeth kajipanga. Naomba nitoe rai kwenu ndugu zangu na watanzania kwa ujumla muwe makini sana na huyu tapeli hafai hata kidogo.Nawasilisha wakuu

Wala usipate tabu mkuu, story ni hiyo hiyo jina tofauti. Mimi naendelea kuchat naye kama kawaida, ingawa siku hizi hatumi kwa speed ile ya mwanzo.
Wewe nenda naye taratibu tu, yeye anataka msaada wa benk infos, wewe toa msaada tofauti uone!! ukikaa kitapeli utafaidi zaidi
SP
 
Hello how is life and everything arround you, hope all is well with you, my name is miss favour i saw your profile today at (facebook.com) i have no option than let you know, I most say this I like you, i am interested to know you, dear please i will like you to contact me to my email, (favourkainel @ y a h o o.co.uk) so i will send you my picture, and tell you more about myself, we can get to know each other, have a nice day From miss favour (favourkainel @ y a h o o.co.uk)




juzi tu anaitwa favour divine
 
These are known as Nigerian Scams/Emails. Ni Matapeli wanaocheza na Mitandao kuwaibia watu. Pia akikuhitaji umtumie Scanned copy of your Passport: Usifanye hivyo kwani siku hizi kuna kitu kinachoitwa IDENTITY THEFT. Google hiyo kitu ujue Madhara yaletwayo kama mtu akiibiwa "Utambulisho wake"

Bibi Mmoja huko USA alishawahi kutapeliwa dola Milion 2. Kwa hizi Nigerian Scams. Akawa kivutio cha wengi sana alipoweka hadharai CNN.

Ni kuwa Makini. Ila kama ww ni Mjanja unaweza ukacheza naye Mind yake pia.akigundua kuwa una uelewa wa Kutosha basi hupunguza Mawasiliano na ww.

Wakat mwingine hata ukiwapigia simu wanapokea na kuanza kukupa Maelekezo.hata ukimwambia akupigie anakupigia kabisa simu.

Na wengi wao wanakuwa ni wanaume ndio hupendelea sana kufanya huu Mchezo. Inapofikia wakat wa kuongea kwenye simu basi hutafuta wanawake na kuwapa hiyo kazi kukulagai.

Tuwe Makini. No Eazy Money Jamani.
 
Thanks for information japo ni zilipendwa sana.nakumbuka 2001 bos wangu alipigwa 4M tht tym.kwa style iyo
 
Meseji za aina hii ni nyingi sana. Mtachati vizuri ila mwisho wa siku wataka personal details zako na wengine wataenda mbali zaidi kuta uwatumie pesa kidogo kupitia Western Union ili washugulikie money transfer into your designated bank account.

Detail zako nakuomba usitoe kwani hizo wanazitumia kama vigezo vya kuingilia katika account yako za kijamii (facebook, twitter, email, n.k.). Ndio maana utakuta watu wengi account zao zinaingiliwa (hacked) na majamaa.

Hii pia ni muhimu pale facebook na twitter to restrict your personal details such as birthdates, relatives, or when chatting with a stranger who is constantly asking for your very personal details such as your siblings names, other emails and so--please ignore all of them or else be prepared for the worst!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
hao wako wengi sana,mimi wananitumia karibu kila wiki,epuka tamaa.
 
Hello how is life and everything arround you, hope all is well with you, my name is miss favour i saw your profile today at (facebook.com) i have no option than let you know, I most say this I like you, i am interested to know you, dear please i will like you to contact me to my email, (favourkainel @ y a h o o.co.uk) so i will send you my picture, and tell you more about myself, we can get to know each other, have a nice day From miss favour (favourkainel @ y a h o o.co.uk)




juzi tu anaitwa favour divine

mkuu wala hujakosea hata kidogo wanaanza hivyo hivyo
 
Meseji za aina hii ni nyingi sana. Mtachati vizuri ila mwisho wa siku wataka personal details zako na wengine wataenda mbali zaidi kuta uwatumie pesa kidogo kupitia Western Union ili washugulikie money transfer into your designated bank account.

Detail zako nakuomba usitoe kwani hizo wanazitumia kama vigezo vya kuingilia katika account yako za kijamii (facebook, twitter, email, n.k.). Ndio maana utakuta watu wengi account zao zinaingiliwa (hacked) na majamaa.

Hii pia ni muhimu pale facebook na twitter to restrict your personal details such as birthdates, relatives, or when chatting with a stranger who is constantly asking for your very personal details such as your siblings names, other emails and so--please ignore all of them or else be prepared for the worst!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

kweli kabisa uliyonena mkuu
 
Mwizi huyo mimi nina experience na hiyo issue nshawahi sana kusumbuliwa kwenye email yangu but what to do usijib email hata moja hata rudia tena kukutumia picha zake na kukuambia anataka kukutumia fedha kutoka kwenye account yake

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
huo ni utapeli wa siku nyingi sana miaka ya 2000 na hawa watu walifanikiwa sana miaka hyo kutuibia sana mimi mwenyewe niliwatumia dola elfu 5 kwenye west union zamani walinitumia ujumbe wao huo wa kusikitisha sana mpaka nikamuonea huruma huyo dada mpaka nikaingia king mwenyewe
ulimuonea huruma au alikutumia na zile picha zake za uchi uchi ukaona eheheeheheh nimepata toto lakisenegali kumbe umeliwa kwa jinsi nasote hela sitoi hovyo namna hiyo labda niwe jambazi?na ningekuwa mwanume ningeshauwawa maaana singehnga mwanamke ila ningewala sana tu
 
Heshima na utii zije kwenu wanajf wote: Kuna huyu dada alini inbox kwenye facebook na kunipa Email yake kisha akaniomba nimpatie mail yangu na bila hiana nikampatia baada ya hapo akaanza kunitumia jumbe mbalimbali akisema yupo Dakar Senegal nikawa naendelea kufuatilia ili nijue dhumuni lake,alinipa historia ya maisha yake ambayo ni ya kusikitisha flani hivi ili aniteke ki saikolojia kiukweli alinitumia ujumbe mrefu sana ambao kwa kuuangalia unaonekana kabisa umeandaliwa maalumu kwa kazi hiyo ya ki haini uliojaa kila aina ya stori na mwishowe ndipo nilipostukia ukiwa na nafasi za kujaza kwa ajili ya kutransfer money akidai nimtajie bank ninayotumia, jina kamili na mengineyo mengi kwa kweli huyu tapeli anayejiita kwa jina la Elizabeth Elizabeth kajipanga. Naomba nitoe rai kwenu ndugu zangu na watanzania kwa ujumla muwe makini sana na huyu tapeli hafai hata kidogo.Nawasilisha wakuu

Tehe tehe, Wahuni tu hao wasikupotezee muda hata kidogo.
"hello i like us to communicate as you reply to my mail,(anna_sky40@yahoo.com),hope to hear from you soon i will reply with more about me.with love Anna"

"
Hi
I saw your profile i pick interest on it and if you don't mind i will like you to write me on this address (stephine.hosman@yahoo.co.uk) am waiting to read from you because i have something very important and urgent to tell you. In my reply i will send you another of my picture.
Please try write me direct to my email address so that i can be able to responds back to you or you can give me your own email so that i will replied you direct to your email address you give me. My e-mail (stephine.hosman@yahoo.co.uk) regards from
Stephine."

"


  • Conversation started June 11

  • 11:31pm
    Jennifer Jones(jennifer1v2johnson@yahoo.com)
    Hi,I am Jennifer,please how are you! hope you are fine and in perfect condition of health.I went through your profile and i read it and took interest in it,please if you don't mind i will like you to write me on this ID (jennifer1v2johnson@yahoo.com) because I am not often here on face book,hope to hear from you soon,and I will be waiting for your mail because i have something VERY important to tell you.and also do not reply me here on the site.
    Lots of love!
    Jennifer
    Together For ever....
    (¨`·.·´¨)
    `·.¸(¨`·.·´¨)Thanks
    (¨`·.·´¨)¸.·´ &
    `·.¸.·´....Regards
    ´¨)
    ¸ •´ ¸.•*´¨) Miss Jennifer.
    (¸.•´ (¸.
    **~*~*~*~*~*~**~**~*~*~*~*~*~**-**~*~*
    (jennifer1v2johnson@yahoo.com)"

    "

    Hello My Dear
    i am Lucy by name
    i am just looking at your profile,
    you look good in your pictures.
    please can i ask you for a friend?
    if yes reply me in my email box please
    lucymabou570@yahoo.co.uk
    This is my email lucymabou570@yahoo.co.uk"

    "Hi dear,
    How are you doing today? i hope fine,
    I am Rose by name i am in search of a true friend, some one matured and honest.and i love your profile, i want us to be friends but i don't know how you will feel about it,I hope you wouldn't mind despite we don't know each other before, i'm sorry if i am embarrassing you, please write to me direct to my privet email address so that i will explain to you every details about me because i don't have much access on face book all the tome due to some personal reasons, my privet email is .( rosebaby8@hotmail.com) i wait for your mail to my email ok, have a nice day."

    "

    Hello dear,
    how are you doing today, i just saw your profile and decided to write you a mail i hope you can be more than a friend to me, here is my email maryjamesj@yahoo.com,// please i want you to reply me through my email address above maryjamesj@yahoo.com,// so that i will write you back and tell you more about my self for you to know whom i am, please do not ignure to reply my mail on my email thank you as i wait for your reply, yours maryjamesj@yahoo.com,."









 
Heshima na utii zije kwenu wanajf wote: Kuna huyu dada alini inbox kwenye facebook na kunipa Email yake kisha akaniomba nimpatie mail yangu na bila hiana nikampatia baada ya hapo akaanza kunitumia jumbe mbalimbali akisema yupo Dakar Senegal nikawa naendelea kufuatilia ili nijue dhumuni lake,alinipa historia ya maisha yake ambayo ni ya kusikitisha flani hivi ili aniteke ki saikolojia kiukweli alinitumia ujumbe mrefu sana ambao kwa kuuangalia unaonekana kabisa umeandaliwa maalumu kwa kazi hiyo ya ki haini uliojaa kila aina ya stori na mwishowe ndipo nilipostukia ukiwa na nafasi za kujaza kwa ajili ya kutransfer money akidai nimtajie bank ninayotumia, jina kamili na mengineyo mengi kwa kweli huyu tapeli anayejiita kwa jina la Elizabeth Elizabeth kajipanga. Naomba nitoe rai kwenu ndugu zangu na watanzania kwa ujumla muwe makini sana na huyu tapeli hafai hata kidogo.Nawasilisha wakuu

pole sana usianzishe urafiki na watu ovyo ovyo kwenye mitandao
 
Umetoka Bupandagila lini?
Sasa hivi kuna mikataba ya kukodisha magari kwa ujio wa Obama, inaelekewa wanaweza kukupata.
 
Back
Top Bottom