Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,438
- 2,000
Niliambiwa ni eneo la Mtoto wa Mwinyi.......Wakubwa nisiwachoshe kwa maneno mengi, acha picha ziongee
View attachment 73877
Hapa ni kwa nje KAMJENO KAMETULIA INGAWA KACHAFU KIDOGO
View attachment 73878
Hivi ni vya kukojolea, hivyo vilvyozibwa manake NOT REACHABLE
View attachment 73880
Ukimaliza unatakiwa utunze afya yako kwa kuosha mikono yako hapa MAJI UNAJITEGEMEA
Toa maoni yako kuhusu picha hizi
Niliambiwa ni eneo la Mtoto wa Mwinyi.......
Nilishangaa badala ya watu kuji help ndani walikuwa wanamaliza mambo yao nyuma ya hicho kibanda. Hata sioni maana ya kibanda kuwepo hapo.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us