Tahadhari! Hii inafaa kwa Akina Mama tu!

SJUMAA26

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
607
167
Mi ni kijana wa miaka 28, nina elimu ya Chuo Kikuu ila nimejiajiri. Natafuta Sugar Mummy mwenye uwezo kifedha kwa lengo la kupeana mapenzi motomoto. Sitaki vibinti, vimeshanitenda sana.
Kama unazo sifa na uko serious nitwangie kupitia 0719077297. Sitaki matusi au kejeli kama za Lusinde!
 
Ujue ndoa yangu bado changa?

Unataka nipigwe kama yule wa ICU?

Unitue babu wee.
Haka kajamaa kanakufa aisee,28,lean,fit with a good business,Mungu akupe nini konnie,ukizingatia ushakuwa nungayembe.
 
Back
Top Bottom