TAHADHARI: EWURA mnaingia katika mtego kama ule wa TANESCO

Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
Duh si Mchezo...Dude Limeamshwaaa mmmhh.
 
Huu utawala sio ila tatizo watanzania ni watu wagumu sana kuelewa.Sijui akili zetu zikoje!!
Ni kweli mkuu.. Nashindwa kuwaelewa watanzania kiuweli nadhan tatizo ni IQ zetu au ushabiki kwan ukweli tunauona na kuujua...

Juzi bungeni wawakilishi wetu walidhihirisha udhaifu mkubwa... walikuwa wakishangilia Yale mazuri ktk budget lkn walikaa kimya yaliposomwa mabaya.. What a shameful.. Baada ya kutoa pia hisia kwa mabaya walikaa kimya inaonekena ata hayo mazuri kwa kusikia tu hawakuwa wameyaelewa kiundani..
Kiukweli siwezi kuipenda CCM ati kwa tukio la budget pia kuwalia timing hawa wakirugenzi km wa TANESCO, ewura, NSSF n.k ili kutafuta kiki za kisiasa.

Na hata suala la mikataba ya mchanga ambayo iliku iklalamikiwa kqa mda mrefu na watanzania ambayo kiukweli hii mikataba ya kijambazi ilisahiniwa kwa hati za dharula na hawa CCM kwa ubabe, shangwe na uwingi wao bungeni ati Leo tena waonekane majasiri kwa kuivunja..
Hii haikubaliki kiuweli ni kusaka tu kiki za kisiasa na kwa mwenye IQ ndogo atasifia wakati ni bosheni lao na wao CCM wamelienjoy mda mrefu sana
 
Ni kweli mkuu.. Nashindwa kuwaelewa watanzania kiuweli nadhan tatizo ni IQ zetu au ushabiki kwan ukweli tunauona na kuujua...

Juzi bungeni wawakilishi wetu walidhihirisha udhaifu mkubwa... walikuwa wakishangilia Yale mazuri ktk budget lkn walikaa kimya yaliposomwa mabaya.. What a shameful.. Baada ya kutoa pia hisia kwa mabaya walikaa kimya inaonekena ata hayo mazuri kwa kusikia tu hawakuwa wameyaelewa kiundani..
Kiukweli siwezi kuipenda CCM ati kwa tukio la budget pia kuwalia timing hawa wakirugenzi km wa TANESCO, ewura, NSSF n.k ili kutafuta kiki za kisiasa.

Na hata suala la mikataba ya mchanga ambayo iliku iklalamikiwa kqa mda mrefu na watanzania ambayo kiukweli hii mikataba ya kijambazi ilisahiniwa kwa hati za dharula na hawa CCM kwa ubabe, shangwe na uwingi wao bungeni ati Leo tena waonekane majasiri kwa kuivunja..
Hii haikubaliki kiuweli ni kusaka tu kiki za kisiasa na kwa mwenye IQ ndogo atasifia wakati ni bosheni lao na wao CCM wamelienjoy mda mrefu sana
Mkuu sisi ni watu tusiojielewa kabisa yaani tuko tuko tuko tu.Inafika hatua hata mtu unajuta kuzaliwa katika hii nchi.
 
Ipo siku kabla 2020 wananchi watajua hizi sarakasi zenu haziwasaidii katika kukabiliana na changamoto za maisha yao huko mitaani. Watawapuuza na kuwapa kichapo cha ghafla hapo 2020 mkashindwa hata kukumbuka ujecha wenu. Time will tell.
 
Nimesikia wamemsimamisha kazi ngalamgosi uyu director wa EWURA sasa si ataendelea tu kula mshahara japo hayuko kazini km wale wakurugenzi wa NSSF???? hii si ni zaidi ya Hasara kubwa kwa serikali
Hivi unadhani kula mshahara under psychological torture ni masihara? Umeweke ving'amuzi kila unapokwenda ni hatari hii. Kama anaweza aombe kujiuzulu kabisa. Sijui lakini kama taratibu zinaruhusu katika hali hii.
 
Hii nafasi ipo wazi.... Sawa!
Haki itendeke ateuliwe mtu mwenye uwezo SIO lazima atokee Kanda ya JPM... kaskazini na kusini nako ni Tanzania ati
 
Sasa hapo kabashiri nn wakati tukio limefanyika jana usiku?
You must be hopeless, hii thread ni ya last Thursday! Haya yaliyotokea usiku wa manane yalibashiriwa last Thursday, wewe hujasoma thread ilianzishwa lini unajibu ndioooooooooooooooooooooooooooooooooo kwa vile umefundishwa kusema Ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo....... "baba yako mpumbavu", ndiooooooooooooooooooooooooooo bila kusoma sentensi kuwa huyu anamtukana baba, unajibu ndioooooooooooooooooooooooooooooooo maana umefundishwa kujibu ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
by the way sina unasaba na chama chochote! naangalia reality on the plate!
 
You must be hopeless, hii thread ni ya last Thursday! Haya yaliyotokea usiku wa manane yalibashiriwa last Thursday, wewe hujasoma thread ilianzishwa lini unajibu ndioooooooooooooooooooooooooooooooooo kwa vile umefundishwa kusema Ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo....... "baba yako mpumbavu", ndiooooooooooooooooooooooooooo bila kusoma sentensi kuwa huyu anamtukana baba, unajibu ndioooooooooooooooooooooooooooooooo maana umefundishwa kujibu ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
by the way sina unasaba na chama chochote! naangalia reality on the plate!
Haya ndio magonga meza ya pale mjengoni.
 
Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
Usiku wa saa saba na dakika moja kuamkia tarehe 11 June 2017 imetoka taarifa kutoka IKULU Dar es salaam ikiwa na taarifa ya maamuzi mapya ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa.

Taarifa hiyo imeeleza kwamba Waziri Mkuu Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Felix Ngamlagosi kuanzia leo tarehe 11 Juni, 2017.

Maamuzi haya yamekuja siku mbili baada ya habari za kampuni ya IPTL kuongezewa mkataba wa uzalishaji umeme ambapo pia Kituo cha sheria na haki za Binadamu kilijitokeza na kusema hakikubaliani na mkataba huo kuongezwa kwani kampuni hiyo inahusishwa na kashfa ya uchotwaji wa Mabilioni kupitia account ya ESCROW.

Hata hivyo baada ya kituo hicho cha LHRC kujitokeza kuongea, EWURA walijitokeza na kusema ‘kuna vitu viwili vya kuzingatia hapa, EWURA tunachodili nacho sasa hivi ni leseni ya IPTL ambayo aliipata 1996 ikiwa ni ya miaka 21 na inaisha July 2017“

“Sheria iliyoanzisha EWURA na sheria ya UMEME zinataka mtu yeyote anavyoomba leseni EWURA itoe taarifa kwa umma ili watu watoe maoni au pingamizi, hicho ndicho tulichokifanya na hatuendi kwa siri…. tumetoa siku 21 za kupokea maoni, kinachotendeka hapa ni IPTL kutaka kuomba kuongeza leseni‘
 
Tunajua nini tunakifanya. Subirini mwaka wenu wa kuchukua nchi kama utakuwepo
Unaonaje Lizaboni ukiwa verified member, hivi unaogopa nini? nasikia wewe ni mbunge wa kijani, nchi ni yako , serikali yako, jeshi lako, polisi wako, mgambo wako, mageraza yako, unaogopa nini. wengine wanaogopa kupotea kama mlivyompoteza Ben, wewe unaogopa nini?
 
Sasa hapo kabashiri nn wakati tukio limefanyika jana usiku?
Mtoa posti aliwatahadharisha siku mbili zikizopita na kusimamishwa kazi kwake kumetokea leo asubuhi. Hivyo kama hakuwa akijua kama hili litatokea Bali uwezo wake wa kutafakari na kufikiri ndio uliomuongoza basi inatosha kumpongeza kwa utabiri wake
 
Usiku wa saa saba na dakika moja kuamkia tarehe 11 June 2017 imetoka taarifa kutoka IKULU Dar es salaam ikiwa na taarifa ya maamuzi mapya ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa.

Taarifa hiyo imeeleza kwamba Waziri Mkuu Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Felix Ngamlagosi kuanzia leo tarehe 11 Juni, 2017.

Maamuzi haya yamekuja siku mbili baada ya habari za kampuni ya IPTL kuongezewa mkataba wa uzalishaji umeme ambapo pia Kituo cha sheria na haki za Binadamu kilijitokeza na kusema hakikubaliani na mkataba huo kuongezwa kwani kampuni hiyo inahusishwa na kashfa ya uchotwaji wa Mabilioni kupitia account ya ESCROW.

Hata hivyo baada ya kituo hicho cha LHRC kujitokeza kuongea, EWURA walijitokeza na kusema ‘kuna vitu viwili vya kuzingatia hapa, EWURA tunachodili nacho sasa hivi ni leseni ya IPTL ambayo aliipata 1996 ikiwa ni ya miaka 21 na inaisha July 2017“

“Sheria iliyoanzisha EWURA na sheria ya UMEME zinataka mtu yeyote anavyoomba leseni EWURA itoe taarifa kwa umma ili watu watoe maoni au pingamizi, hicho ndicho tulichokifanya na hatuendi kwa siri…. tumetoa siku 21 za kupokea maoni, kinachotendeka hapa ni IPTL kutaka kuomba kuongeza leseni‘
Hapa sijui angekuwepo Muhongo ingekuwaje?
 
Mtoa posti aliwatahadharisha siku mbili zikizopita na kusimamishwa kazi kwake kumetokea leo asubuhi. Hivyo kama hakuwa akijua kama hili litatokea Bali uwezo wake wa kutafakari na kufikiri ndio uliomuongoza basi inatosha kumpongeza kwa utabiri wake
Ndicho nilichokuwa nabishana na Lizaboni, mpuuzi hakusoma thread ilianzishwa lini! anarukia tu na ndiooooooooooooo
 
Hii haikubaliki kiuweli ni kusaka tu kiki za kisiasa na kwa mwenye IQ ndogo atasifia wakati ni bosheni lao na wao CCM wamelienjoy mda mrefu sana
Inasakaje Kiki za kisiasa wakati watu waliichagua bila hata kuwa inachukua hatua kama hizi za Magufuli.. Wanaoikubali CCM, hawahitaji JPM atumbue Majipu ili waichague tena, mnahangaika sana ila mmenasa
 
Back
Top Bottom