Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,998
- 144,330
- Thread starter
- #61
Inawezekana ni yule alietumika kumuhukumu Mdee kwa lile pendekezo lake.Nasikia huyu ni mbunge, is it true?
Inawezekana ni yule alietumika kumuhukumu Mdee kwa lile pendekezo lake.Nasikia huyu ni mbunge, is it true?
Hata hivyo alotakiwa kutumbuliwa syo mramba wa Tanesco Bali in muhongo na ngalamkosi ila kwa kuwa sisonje ana bifu na wachaga ndo yakawa yalivyokuwaTayari wamekula kichwa
Tayari yametimia, bosi wa EWURA katumbuliwa usiku usiku.Naomba mods muache huu uzi kwa faida ya wenzetu wa EWURA.
Kwa nyinyi kukusanya maoni juu ya kuoingezea IPTL mkataba naamani mtakuwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria kwani bila shaka sheria inawataka mfanye hivyo baada ya kupokea maombi ya kampuni husika.
Naamini licha ya tuhuma lukuki zinazoikabili IPTL,nyinyi tuhuma hizo hamna mamlaka nazo maadamu wenye mamlaka hawajachuk
ua hatua hivo nyinyi kama EWURA inawabidi tu muichukulie IPTL kama kampuni isiyo na makandokando yoyote hata kama mnajua ina madudu hivyo inawabidi tu mtimize wajibu wenu wa kupokes maoni ya wananchi juu ya maombi ya kampuni hii kutaka kuongezewa leseni ya kuzalisha umeme.
Hata hivyo,tambieni hata TANESCO walifuata taratibu zote zilizowekwa za kupandisha bei ya umeme ikiwemo kuwashirikisha nyinyi EWURA kama wadhibiti kulingana na sheria inavyotaka na katika mchakato wote ule TANESCO waliachwa waendelee na huo mchakato mpaka pale bei mpya ya umeme ilipotangazwa.
Kwa mtazamo wangu,kama jinsi TANESCO walivyoachwa kuendelea na ule mchakato,ndivyo vivyo hata nyinyi mtaachwa na mchakato huu wa kuipatia leseni kampuni hii ya IPTL ili mwisho wa siku na nyie muingie mtegoni alafu wawageuke na wao wajizolee sifa za kisiasa
Sitashangaa pia wakaja na hoja ya kutaka kuifuta kabisa EWURA iwapo kwa mujibu wa sheria itakuwa vigumu kuwachukulia nyie hatua.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Time will tell.
Salute to you Salary Slip.Naomba mods muache huu uzi kwa faida ya wenzetu wa EWURA.
Kwa nyinyi kukusanya maoni juu ya kuoingezea IPTL mkataba naamani mtakuwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria kwani bila shaka sheria inawataka mfanye hivyo baada ya kupokea maombi ya kampuni husika.
Naamini licha ya tuhuma lukuki zinazoikabili IPTL,nyinyi tuhuma hizo hamna mamlaka nazo maadamu wenye mamlaka hawajachuk
ua hatua hivo nyinyi kama EWURA inawabidi tu muichukulie IPTL kama kampuni isiyo na makandokando yoyote hata kama mnajua ina madudu hivyo inawabidi tu mtimize wajibu wenu wa kupokes maoni ya wananchi juu ya maombi ya kampuni hii kutaka kuongezewa leseni ya kuzalisha umeme.
Hata hivyo,tambieni hata TANESCO walifuata taratibu zote zilizowekwa za kupandisha bei ya umeme ikiwemo kuwashirikisha nyinyi EWURA kama wadhibiti kulingana na sheria inavyotaka na katika mchakato wote ule TANESCO waliachwa waendelee na huo mchakato mpaka pale bei mpya ya umeme ilipotangazwa.
Kwa mtazamo wangu,kama jinsi TANESCO walivyoachwa kuendelea na ule mchakato,ndivyo vivyo hata nyinyi mtaachwa na mchakato huu wa kuipatia leseni kampuni hii ya IPTL ili mwisho wa siku na nyie muingie mtegoni alafu wawageuke na wao wajizolee sifa za kisiasa
Sitashangaa pia wakaja na hoja ya kutaka kuifuta kabisa EWURA iwapo kwa mujibu wa sheria itakuwa vigumu kuwachukulia nyie hatua.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Time will tell.
Yule bwana hakuusoma mchezo..or kalipwa mlungula mrefu sana na alikuwa tayari hata kutumbuliwa tu. Nothing to lose.Tayari wameishamtepetesha mkuu
Mbona tayari ameshaliwa?
Umetoa utabiri mzuri sana mkuu...na yametimia...big up mkuu wangu.Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
Uliotea sana mkuu...hongera...kwa leo nimependa utabiri wako na yametimia..Naomba mods muache huu uzi kwa faida ya wenzetu wa EWURA.
Kwa nyinyi kukusanya maoni juu ya kuoingezea IPTL mkataba naamani mtakuwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria kwani bila shaka sheria inawataka mfanye hivyo baada ya kupokea maombi ya kampuni husika.
Naamini licha ya tuhuma lukuki zinazoikabili IPTL,nyinyi tuhuma hizo hamna mamlaka nazo maadamu wenye mamlaka hawajachuk
ua hatua hivo nyinyi kama EWURA inawabidi tu muichukulie IPTL kama kampuni isiyo na makandokando yoyote hata kama mnajua ina madudu hivyo inawabidi tu mtimize wajibu wenu wa kupokes maoni ya wananchi juu ya maombi ya kampuni hii kutaka kuongezewa leseni ya kuzalisha umeme.
Hata hivyo,tambieni hata TANESCO walifuata taratibu zote zilizowekwa za kupandisha bei ya umeme ikiwemo kuwashirikisha nyinyi EWURA kama wadhibiti kulingana na sheria inavyotaka na katika mchakato wote ule TANESCO waliachwa waendelee na huo mchakato mpaka pale bei mpya ya umeme ilipotangazwa.
Kwa mtazamo wangu,kama jinsi TANESCO walivyoachwa kuendelea na ule mchakato,ndivyo vivyo hata nyinyi mtaachwa na mchakato huu wa kuipatia leseni kampuni hii ya IPTL ili mwisho wa siku na nyie muingie mtegoni alafu wawageuke na wao wajizolee sifa za kisiasa
Sitashangaa pia wakaja na hoja ya kutaka kuifuta kabisa EWURA iwapo kwa mujibu wa sheria itakuwa vigumu kuwachukulia nyie hatua.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Time will tell.
Kuna watu mna akili kubwa sana hapa Tanzania, saluteNaomba mods muache huu uzi kwa faida ya wenzetu wa EWURA.
Kwa nyinyi kukusanya maoni juu ya kuoingezea IPTL mkataba naamani mtakuwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria kwani bila shaka sheria inawataka mfanye hivyo baada ya kupokea maombi ya kampuni husika.
Naamini licha ya tuhuma lukuki zinazoikabili IPTL,nyinyi tuhuma hizo hamna mamlaka nazo maadamu wenye mamlaka hawajachuk
ua hatua hivo nyinyi kama EWURA inawabidi tu muichukulie IPTL kama kampuni isiyo na makandokando yoyote hata kama mnajua ina madudu hivyo inawabidi tu mtimize wajibu wenu wa kupokes maoni ya wananchi juu ya maombi ya kampuni hii kutaka kuongezewa leseni ya kuzalisha umeme.
Hata hivyo,tambieni hata TANESCO walifuata taratibu zote zilizowekwa za kupandisha bei ya umeme ikiwemo kuwashirikisha nyinyi EWURA kama wadhibiti kulingana na sheria inavyotaka na katika mchakato wote ule TANESCO waliachwa waendelee na huo mchakato mpaka pale bei mpya ya umeme ilipotangazwa.
Kwa mtazamo wangu,kama jinsi TANESCO walivyoachwa kuendelea na ule mchakato,ndivyo vivyo hata nyinyi mtaachwa na mchakato huu wa kuipatia leseni kampuni hii ya IPTL ili mwisho wa siku na nyie muingie mtegoni alafu wawageuke na wao wajizolee sifa za kisiasa
Sitashangaa pia wakaja na hoja ya kutaka kuifuta kabisa EWURA iwapo kwa mujibu wa sheria itakuwa vigumu kuwachukulia nyie hatua.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Time will tell.
Ni mwendo wa kuviziana tu mkuu.Watu wanaishi kwa kuviziana.
Haihitaji kuwa na shahada kujua mwenendo wa hiii serikali yetu.mkuu ramli unapiga kwa tsh ngapi? Nimependa huu utabiri.
Wanaondoa tu morali ya watu kufanya kazi.Hakuusoma mchezo vizuri because you could see this coming 2km away. Labda watampangia kazi nyingine.
Ni bora umejificha kukwepa aibu ya kukurupuka.Sasa hapo kabashiri nn wakati tukio limefanyika jana usiku?