TAHADHARI: EWURA mnaingia katika mtego kama ule wa TANESCO

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Naomba mods muache huu uzi kwa faida ya wenzetu wa EWURA.

Kwa nyinyi kukusanya maoni juu ya kuoingezea IPTL mkataba naamani mtakuwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria kwani bila shaka sheria inawataka mfanye hivyo baada ya kupokea maombi ya kampuni husika.

Naamini licha ya tuhuma lukuki zinazoikabili IPTL,nyinyi tuhuma hizo hamna mamlaka nazo maadamu wenye mamlaka hawajachuk
ua hatua hivo nyinyi kama EWURA inawabidi tu muichukulie IPTL kama kampuni isiyo na makandokando yoyote hata kama mnajua ina madudu hivyo inawabidi tu mtimize wajibu wenu wa kupokes maoni ya wananchi juu ya maombi ya kampuni hii kutaka kuongezewa leseni ya kuzalisha umeme.

Hata hivyo,tambieni hata TANESCO walifuata taratibu zote zilizowekwa za kupandisha bei ya umeme ikiwemo kuwashirikisha nyinyi EWURA kama wadhibiti kulingana na sheria inavyotaka na katika mchakato wote ule TANESCO waliachwa waendelee na huo mchakato mpaka pale bei mpya ya umeme ilipotangazwa.

Kwa mtazamo wangu,kama jinsi TANESCO walivyoachwa kuendelea na ule mchakato,ndivyo vivyo hata nyinyi mtaachwa na mchakato huu wa kuipatia leseni kampuni hii ya IPTL ili mwisho wa siku na nyie muingie mtegoni alafu wawageuke na wao wajizolee sifa za kisiasa

Sitashangaa pia wakaja na hoja ya kutaka kuifuta kabisa EWURA iwapo kwa mujibu wa sheria itakuwa vigumu kuwachukulia nyie hatua.

Mwenye macho haambiwi tazama.

Time will tell.
 
Hao nao waache kiherehere, wameoma wizara haina waziri ndo wanaibuka kuomba lesseni, tuwaeleweje sasa!
 
Naomba mods muache huu uzi kwa faida ya wenzetu wa EWURA.

Kwa nyinyi kukusanya maoni juu ya kuoingezea IPTL mkataba naamani mtakuwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria kwani bila shaka sheria inawataka mfanye hivyo baada ya kupokea maombi ya kampuni husika.

Naamini licha ya tuhuma lukuki zinazoikabili IPTL,nyinyi tuhuma hizo hamna mamlaka nazo maadamu wenye mamlaka hawajachuk
ua hatua hivo nyinyi kama EWURA inawabidi tu muichukulie IPTL kama kampuni isiyo na makandokando yoyote hata kama mnajua ina madudu hivyo inawabidi tu mtimize wajibu wenu wa kupokes maoni ya wananchi juu ya maombi ya kampuni hii kutaka kuongezewa leseni ya kuzalisha umeme.

Hata hivyo,tambeni hata TANESCO walifuata taratibu zote zilizowekwa za kupandisha bei ya umeme ikiwemo kuwashirikisha nyinyi EWURA kama sheria inavyotaka na katika mchakato wote ule TANESCO waliachwa waendelee na huo mchakato mpaka pale bei mpya ya umeme ilipotangazwa.

Kwa mtazamo wangu,kama jinsi TANESCO walivyoachwa kuendelea na ule mchakato,ndivyo vivyo hata nyinyi mtaachwa na mchakato huu wa kuipatia leseni kampuni hii ya IPTL ili mwisho wa siku na nyie muingie mtegoni alafu wawageuke na wao wajizolee sifa za kisiasa.

Mwenye macho haambiwo tazama.

Time will tell.
Sio siri hii.ngoja wasipokee ushauri wako huu .wataona ugeu ugeu Wa nanii nani vile ??
 
Hii nchi ya ajabu sana. Ni hawa Hawa IPTL tuliokuwa tunalia wanatuibia lakini serikali hiyihiyo wanaingia tena mkataba nao. Tukisema CCM ni vichaa wengine hamtuelewi
 
Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
 
Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
Ni mwendo wa kuviziana tu.Hizo nafasi kuna watu wanazisubiria.
 
Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
Kama nilivyosema na sasa yametimia
 
Sio siri hii.ngoja wasipokee ushauri wako huu .wataona ugeu ugeu Wa nanii nani vile ??
Mkuu hili limeshatokea.

Hii kufukuzana kazi haina nia njema bali nahisi nia yao ni kutaka kupata nafasi za kisiasa na hizo nafasi kuwapa watu wao.
 
Mbona tayari ameshaliwa?

Magufuli kama kawaida yake - amekaa pembeni anachungulia mchezo mzima na anasubiri aone hao EWURA na Lawyers wao wataamua nini mwisho wa siku. Ngalamgosi aliponea chupuchupu wakati yule wa TANESCO anapigwa kibuti kipindi kile. Asipoangalia zamu hii na yeye atachomolewa.
 
Back
Top Bottom