Tahadhali kwa wanywaji bia usiku

Tahadhali kwa wanywaji bia usiku

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,247
Wana jf, jana usiku nimekutwa na balaa la kukuta mende ndani ya bia (jina nalihifadhi) ktk bar moja mjini Mwanza.Hii ilitokana na mie kupenda kutotumia glasi.jihadhalini jitahidini kutumia glasi.
 
Ndugu hiyo ni promosheni ya mshikaki ndani ya bia, kwa wanywaji wagumu kununua mshikaki
 
Wana jf, jana usiku nimekutwa na balaa la kukuta mende ndani ya bia (jina nalihifadhi) ktk bar moja mjini Mwanza.Hii ilitokana na mie kupenda kutotumia glasi.jihadhalini jitahidini kutumia glasi.
Afadhali yalikukuta. kesho utakunywa kondom iliyotumika. Kila siku tunasema acheni pombe mumrudie MUNGU hamtaki. acha pombe uimarishe uhusiano na wife. familia. jamii. ukue kisaikolojia . kiuchumi na kiroho.
 
Afadhali yalikukuta. kesho utakunywa kondom iliyotumika. Kila siku tunasema acheni pombe mumrudie MUNGU hamtaki. acha pombe uimarishe uhusiano na wife. familia. jamii. ukue kisaikolojia . kiuchumi na kiroho.

Pastor, point of correction, please: jamaa ameongelea bia, wewe unaongelea pombe! Vitu viwili tofauti kabisa! Bia = (kinywaji) Safari lager, balimi, kilimanjaro, tusker, ndovu, castle, primus, carlsberg, redds, serengeti, n.k. Pombe = wanzuki, kimpumu, mnazi, ulanzi, mbege, gongo,mapuya, rubisi, viroba, n.k.

By the way, unafahamu utengenezaji na mauzo ya bia yanachangia kiasi gani katika pato la Taifa, pato ambalo wewe hapo ulipo unalifaidi bila jasho? Kama vipi, njoo hapa Freedom Bar, Ghana, Mwanza nikupe somo huku naburudika na castle bariidi kwa supu ya kongoro!

Mleta Uzi, hiyo ishu ya mende kwenye chupa ya bia ni kama ajali kazini, we piga kinywaji kwa afya mkuu, maisha yenyewe mafupi haya!
 
Walevi popote walipo wanahisi wanafaidi. wazinzi popote gesti walipo wanahisi wanafaidi lkn wote hawa siku wakiacha watagundua walikua wanapoteza muda na kuchuna dhambi tu. Njooni huku kusiko na bar wala gesti muone raha na utamu wa maisha
 
Pastor, point of correction, please: jamaa ameongelea bia, wewe unaongelea pombe! Vitu viwili tofauti kabisa! Bia = (kinywaji) Safari lager, balimi, kilimanjaro, tusker, ndovu, castle, primus, carlsberg, redds, serengeti, n.k. Pombe = wanzuki, kimpumu, mnazi, ulanzi, mbege, gongo,mapuya, rubisi, viroba, n.k.

By the way, unafahamu utengenezaji na mauzo ya bia yanachangia kiasi gani katika pato la Taifa, pato ambalo wewe hapo ulipo unalifaidi bila jasho? Kama vipi, njoo hapa Freedom Bar, Ghana, Mwanza nikupe somo huku naburudika na castle bariidi kwa supu ya kongoro!

Mleta Uzi, hiyo ishu ya mende kwenye chupa ya bia ni kama ajali kazini, we piga kinywaji kwa afya mkuu, maisha yenyewe mafupi haya!

Hakuna ujinga wa mwisho kama kusifu unywaji pombe
 
oooh!! what a pity??

Unatetea ujinga. Ukitaka kumpata mwanamke kirahisi. mpe pombe. ukitaka waziri asaini mkataba feki. mpe pombe. hata wanaume wamefanywa wanawake kwa sababu ya pombe. WHO WILL DENY THAT DRUNKNESS IS NOTHING BUT VOLUNTARY MADNESS
 
Afadhali yalikukuta. kesho utakunywa kondom iliyotumika. Kila siku tunasema acheni pombe mumrudie MUNGU hamtaki. acha pombe uimarishe uhusiano na wife. familia. jamii. ukue kisaikolojia . kiuchumi na kiroho.

aliyekuambia vote hi yo hatuna in nani?tatizo ya watu wanaojifanya wasafi ndo hii ,kazi kuhukumu tu na kuwasema watu .unajua hata kuhukumu ni dhambi?
 
aliyekuambia vote hi yo hatuna in nani?tatizo ya watu wanaojifanya wasafi ndo hii ,kazi kuhukumu tu na kuwasema watu .unajua hata kuhukumu ni dhambi?

Bora useme maana hiyo tabia ya kunyoosha vidole ni mbaya sana.
 
Sasa kuificha hiyo brand ndo unewasaidia wanywaji au umeleta uzushi? Mpaka uchafu huo unabaki maana yake process nzima sio madhubuti na kuna uwezekano bia nyingine nazo ni chafu. Ungeweka jina la bia na hata picha ya hiyo bia yenye mende ungewasaidia wengi kuzichunguza kwa makini kabla ya kuzinywa.
 
Mimi akijichanganya akajipendekeza kwenye glass yangu nakamata namnyonya hadi pombe ilomwingia ikauke kisha namrusha nje naendelea na mzigo, hii tabia ya kuchunguza chunguza utakuja kugundua visivyostahili kuonwa period!
 
aliyekuambia vote hi yo hatuna in nani?tatizo ya watu wanaojifanya wasafi ndo hii ,kazi kuhukumu tu na kuwasema watu .unajua hata kuhukumu ni dhambi?
tena hao wanaojiita watumishi ndio wanaoongoza kufumaniwa na wake/waume wa wenzao.!
 
jaribu siku upige bia tatu kama haujasema ''nilikuwa wapi?''
Redy hawa watu sijui wakoje yani wanataka jamii nzima tuwe wachungaji au masheikh vp hawa control freaks!mi km nagonga kivyangu...wacha nitaue manica moja barrrridii,hii kitu ya hapa mosambique km mbuyu safari ya kwetu tu
 
Nani tena huyo anatuhubiria dini Bar? Hivi unajua kitu kinachomfanya mtu anywe pombe? We kama hutumii kausha tu acha sisi tuendelee kupiga mma na Mungu tunamuabudu vile vile.
 
Redy hawa watu sijui wakoje yani wanataka jamii nzima tuwe wachungaji au masheikh vp hawa control freaks!mi km nagonga kivyangu...wacha nitaue manica moja barrrridii,hii kitu ya hapa mosambique km mbuyu safari ya kwetu tu

Kukuambia uache pombe sio kukunyooshea kidol
e ila tunataka kuokoa roho yako. familia yako uchumi wako afya yako na muda wako. Pombe inakusaidia nini ww maskini wa MUNGU.
 
Back
Top Bottom