Kunywa bia kwa chupa si nzuri kiafya.Ukitumia glass gesi inatoka vizuri ambayo kwa chupa unaibugia tu.
Hakuna ujinga wa mwisho kama kusifu unywaji pombe
Kukuambia uache pombe sio kukunyooshea kidol
e ila tunataka kuokoa roho yako. familia yako uchumi wako afya yako na muda wako. Pombe inakusaidia nini ww maskini wa MUNGU.
Walevi popote walipo wanahisi wanafaidi. wazinzi popote gesti walipo wanahisi wanafaidi lkn wote hawa siku wakiacha watagundua walikua wanapoteza muda na kuchuna dhambi tu. Njooni huku kusiko na bar wala gesti muone raha na utamu wa maisha
Walevi popote walipo wanahisi wanafaidi. wazinzi popote gesti walipo wanahisi wanafaidi lkn wote hawa siku wakiacha watagundua walikua wanapoteza muda na kuchuna dhambi tu. Njooni huku kusiko na bar wala gesti muone raha na utamu wa maisha
...baada ya hapo umefanya nini?????, huo ni uzembe wa Manufacturer Industry kushindwa kujali mtumiaji wa bidhaa yao: kama ni kweli unastahili fidia.Wana jf, jana usiku nimekutwa na balaa la kukuta mende ndani ya bia (jina nalihifadhi) ktk bar moja mjini Mwanza.Hii ilitokana na mie kupenda kutotumia glasi.jihadhalini jitahidini kutumia glasi.
story hiz nyingi hapa mjini mm nilikuta condom baadae nikakuta nyeti za me na ke then nikakuta watu wanagegedana ila bado napiga pombe kama kawa dear gambe
jaribu siku upige bia tatu kama haujasema ''nilikuwa wapi?''
kama hupigi vyombo na kwnye ngono haupo basi kuna uwezekano we chele. kaa mwenyewe uko, si riziki ww
wewe jamaa una guts mbaya acha watu tugonge mvinyo na mambo ya maana tunafanya kuliko ww unayetuponda
Hiyo baa itakuwa ni chafu sana. Hiyo mende iliingia wakati unaendelea kunywa. Vilele kutumia glasi napo siyo vizuri glasi zingine zinatumiwa na watu wanamagonjwa mbalimbali kama TB, Na baa zingine glasi huwa hazioshwi vizuri.
Kushinda bar na baadae kuhamia gesti kwako wewe ni jambo la busara. ndio akili yako ya pombe inavyokutuma ?@####@@%&%#@
Walevi popote walipo wanahisi wanafaidi. wazinzi popote gesti walipo wanahisi wanafaidi lkn wote hawa siku wakiacha watagundua walikua wanapoteza muda na kuchuna dhambi tu. Njooni huku kusiko na bar wala gesti muone raha na utamu wa maisha
Kushinda bar na baadae kuhamia gesti kwako wewe ni jambo la busara. ndio akili yako ya pombe inavyokutuma ?@####@@%&%#@