Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,057
- 8,085
Hope mko poa.
Recently, kumekua na case tofauti tofauti kwa hili jukwaa pendwa la MMU.
Kumekua na story za member wenzetu humu kuumizwa na haya mapenzi. Kuna thread zinasikitisha na kutia huruma sana. Kama member wa JF na mfatiliaji wa hili jukwaa hili ningependa watu wapate kutambua yakuwa
Unaweza kuwa kituko kwa mtu mmoja ila ukawa Malkia/Mfalme kwa. wengine. Tafuta mtu wako ambye mnawezana na nakomaa nae huyohuyo!. Kulazimisha hakujawahi kuleta furaha 🥺
Kila mtu ana mtu wake, kama unaona unalia kila siku huyo si wakwako, anaeza kuwa mshenzi kwako ila malaika kwa wengine.
Usipokubali kuumia katika mahusiano utaishi kwa kuumia kila siku. Kuna wakati katika mahusiano unapaswa kusema kuwa hili si fungu langu ukaachana na huyo mtu.
Recently, kumekua na case tofauti tofauti kwa hili jukwaa pendwa la MMU.
Kumekua na story za member wenzetu humu kuumizwa na haya mapenzi. Kuna thread zinasikitisha na kutia huruma sana. Kama member wa JF na mfatiliaji wa hili jukwaa hili ningependa watu wapate kutambua yakuwa
Unaweza kuwa kituko kwa mtu mmoja ila ukawa Malkia/Mfalme kwa. wengine. Tafuta mtu wako ambye mnawezana na nakomaa nae huyohuyo!. Kulazimisha hakujawahi kuleta furaha 🥺
Kila mtu ana mtu wake, kama unaona unalia kila siku huyo si wakwako, anaeza kuwa mshenzi kwako ila malaika kwa wengine.
Usipokubali kuumia katika mahusiano utaishi kwa kuumia kila siku. Kuna wakati katika mahusiano unapaswa kusema kuwa hili si fungu langu ukaachana na huyo mtu.