Hv ma top na magreatthinker tusaidiane kwa hili..,mie nashangazwa na utaratibu huu ambao umezuka siku hizi unakuta waziri anaanzisha kammpuni kwaajili ya kusaidia wananchi wake wa jimbo....je kufanya hivyo sio kwamba ni dalili kuwa serikali imeshindwa kutuhudumia wananchi wake? maana inaonesha kuwa mtu anaweza kuwa kwenye serikali na kama serikali akashindwa kusaidia wananchi wake na kuamua kuanzisha kampuni kwa ajili ya wananchi wake...sijui na pesa za kuanzisha kampuni zinatoka wapi tena?lbd mfukuno...lkn je serikali haina pesa inazidiwa hata na waziri anatoa pesa yake kuanzisha kampuni...lbd ni wafadhili je serikali haina wafadhili wa kusaidia wananchi ni maswali bado najiuliza..nafiokiri nitapata majibu tusaidiane nchi hii yetu sote kama serikali imeshindwa kutusaidia basi bora kila kiongozi aanzishe kampuni kusaidia wananchi wake.....
Tafsiri yangu ni hii yako je?
Tafsiri yangu ni hii yako je?