Tafsiri ya Viapo vya Utii na Maadili mtumishi akitoa siri za Umma nini kitamtokea?

Matope

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
892
679
Wakuu habari,

Nimetafakari leo viapo vya utii na maadili kwa mfano ikatokea ukatoa siri za kambi nini kinatokea?

Kwa mfano Bwana Paul Makonda akaamua kutumegea nini kipo huko akatoa siri za mabaya yote ya ofisi ya mkoa na aliyoamrishwa kufanya inakuwaje?

Kuna Sheria inayombana au kumfunga kabisa?
 
Back
Top Bottom