Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,546
- 86,140
Tanzania tuna magenge ya Wahalifu yaliyovalishwa UniformKweli kabisa.Tanzania wapinzani wlishind wakapelekewa Kesho la polisi kuwapiga na kuwadhalilisha.Funzo kubwa kwa Mahakama zetu,Polisi,Jeshi na CCM yao.
Sent using Jamii Forums mobile app