NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
nguli tusaidie ufupi unaanzia futi ngapi au cm ngapi ndo tuendelee na hii mada kwa kuwa ufupi wa kitu lazima uwe na reference ya kitu kingine.
Plz nisaidie ufupi maana yake nini hasa kwa binadamu?na unaanzia futi ngapi kuhitimisha kuwa huyu ni mfupi?
cm < 160 huyu ni mfupi, cm 170> urefu wa wastani na cm 190> huyu ni tall where ar u? Kabla hamjanitupia mawe??