Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Kiongozi. nan mfupi kakukera?Wakuu.
Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi atusamehe dhambi zetu lakini binadamu wenzetu watu wafupi.
Watu wafupi kwanza wanaviburi, sio waelewa na hua wanajitutumua hata kwenye mambo wasiyoyaweza.
Watu wafupi hua wanalalamika sana na kwenye mambo mengi wanahisi wanaonewa wakati sio kweli.
Watu wafupi hua ninashindwa kuwaelewa hawa ndugu zetu.
Naona umeenda kufukua nyuzi ya zaidi ya miaka 10 iliopita
Mwisho wa mwezi unakaribia huu....baba mwenye nyumba kafanya yake nini?