EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Utafiti uliofanyika mwaka jana unaonyesha kuwa asilimia 54 ya wanawake wa Tanzania wanaamini kuwa mume anayo haki ya kumpiga mkewe. Asilimia 38 tuu ya wanaume wanaamini hivyo. Uhalali wa mume kumpiga mke unaaminiwa na wanawake na wanaume wa Kitanzania kama ifuatavyo kwa asilimia (%):
1. Kama mke akiunguza chakula - wanawake -17.7%, wanaume - 5.4%
2. Kama mke akigombana na mume wake - wanawake - 38.5%, wanaume -22.5%
3. Kama mke akitoka bila kumjulisha mumewe - wanawake - 40.3%, wanaume -24.6%
4. Kama mke akitelekeza watoto - wanawake - 40.3%, wanaume - 24.6%
5. Kama mke akikataa kufanya tendo la ndoa - wanawake - 31.1%, wanaume - 13.8%
6. Wale wote wanaoamini yote hapo juu - wanawake - 54.1%, wanaume -34.4%
Findings nyingine zinatisha hasa zile zinazolenga kwenye physical and sexual violence.
Source: The Demographic and Health Survey for Tanzania 2010: http://www.measuredhs.com/pubs/pdf/FR243/FR243.pdf
1. Kama mke akiunguza chakula - wanawake -17.7%, wanaume - 5.4%
2. Kama mke akigombana na mume wake - wanawake - 38.5%, wanaume -22.5%
3. Kama mke akitoka bila kumjulisha mumewe - wanawake - 40.3%, wanaume -24.6%
4. Kama mke akitelekeza watoto - wanawake - 40.3%, wanaume - 24.6%
5. Kama mke akikataa kufanya tendo la ndoa - wanawake - 31.1%, wanaume - 13.8%
6. Wale wote wanaoamini yote hapo juu - wanawake - 54.1%, wanaume -34.4%
Findings nyingine zinatisha hasa zile zinazolenga kwenye physical and sexual violence.
Source: The Demographic and Health Survey for Tanzania 2010: http://www.measuredhs.com/pubs/pdf/FR243/FR243.pdf