Tafiti juu ya nyama ya kunguru

Tafiti juu ya nyama ya kunguru

Huyu ndege si ndo aliyempelekea kipande cha mkate Elia kule nyikani?
 
Usijichanganye kula ndege huyo kabla ya tigo fiesta, [emoji2][emoji2][emoji2]
Hili ni swali napenda tu kujua tafiti zinasemaje kuhusu ulaji wa nyama ya ndege huyu.

Amekuwa kero kila kona na walio wengi wanajua kero zake sasa sitaki kuzungumzia hilo ila napenda kujua kwa yeyote anayejua kama ulaji wa nyama yake una madhara yoyoye kiafya.

Ikiwa ina madhara kiafya basi tuendelee tu kuikabili adhaa ya ndege huyu, ila kama hana madhara basi tujuzwe tujifarij na nyama yake. Ni hayo tu
 
Haaaa haaa duuu!Mwenyewe nimewahi kula nyama ya kunguru iliniletea hangover ikabidi nile nyama ya bundi kukata hangover ila ya bundi ina kauchungu kwa mbali (nami nimeongeza chumvi kidogo kulipa kisasi)
Hahaha sawa boss.
 
Hili ni swali napenda tu kujua tafiti zinasemaje kuhusu ulaji wa nyama ya ndege huyu.

Amekuwa kero kila kona na walio wengi wanajua kero zake sasa sitaki kuzungumzia hilo ila napenda kujua kwa yeyote anayejua kama ulaji wa nyama yake una madhara yoyoye kiafya.

Ikiwa ina madhara kiafya basi tuendelee tu kuikabili adhaa ya ndege huyu, ila kama hana madhara basi tujuzwe tujifarij na nyama yake. Ni hayo tu

Kula tu mzee, akikudhuru basi atakuwa sio mzuri asipo kudhuru uje utuoe mrejesho. Polee sana naona wazi ulivyokerwa na huyu ndege[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kula tu mbona nguruwe ni haramu mnakula ,

Na mnatumia aya za biblia kupotosha kuwa mmeruhusiwa kula kila mnyama na ndege
[/QUOTEh
Haliwi sababu ni miongoni mwa ndege wanaotumia miguu kukamatia chakula chao.

Wanao liwa ni wale tu wanaotumia midomo kukamatia chakula chao.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kitambo kidogo kulikuwa na mkabaji mmja huko mwananyamala alikuwa anaitwa mashkurumbwe
Katika kupigwa wanted na watu, wlimkuta ghetto kwake ndy kwanza alikuwa anamnyonyoa kunguru tayari kwa kumbanika!

Ova
 
kwani kuku na bata wanakula kutoka wapi
Ushawahi kuona kuku na bata wakichukua vyupi vya binadamu, bandeji au pamba zilizotumika kwenye madonda ya binadamu?
Ushaona kuku chakula chao kikuuu wanyama wenzao tena kwa kuokoteza mizoga?
Kama haujui kunguru ni kundi la scavengers kam a tai(vultures) na fisi(hyenas).
Hujawai kujiuliza kwanini predators wengi hasa wanaokula mizoga hawaliwi na binadamu?

Unadhani sababu nyama yao ina kemikali za sumu? Ni rahisi kuambukiza magonjwa toka kwa wanyama kwenda kwa binadamu na kinyume chake pia sahihi.

Unafikiri kwanini Zoo wanapowapa wanyama nyama ya aina ya ndege kama kuku lazima wachemshe?
 
Pale kwenye Quran mlivyo ambiwa mkiwa jangwani mnaruhusiwa kula napo mlipotoshwa,,[emoji134][emoji848]
Kula tu mbona nguruwe ni haramu mnakula ,

Na mnatumia aya za biblia kupotosha kuwa mmeruhusiwa kula kila mnyama na ndege
 
Pale kwenye Quran mlivyo ambiwa mkiwa jangwani mnaruhusiwa kula napo mlipotoshwa,,[emoji134][emoji848]
Waulize wahusika ,mm nimezungumzia biblia ,ambayo imeweka adhabu kabisa kwa wala nguruwe ,panya na machukizo mengine kama kunguru,MENDE ,mbwa,bata ,konokono ,
 
Back
Top Bottom