Tafiti juu ya nyama ya kunguru

Tafiti juu ya nyama ya kunguru

Naanza kuamini Wasabato na Waislamu walikuwa na maono ya kinabii coz wamezu gumza juu ya uharamu wa nguruwe kwa mda sasa japo, tukawapuuza.. Lakini ukweli ni ukweii
Hili ni swali napenda tu kujua tafiti zinasemaje kuhusu ulaji wa nyama ya ndege huyu.

Amekuwa kero kila kona na walio wengi wanajua kero zake sasa sitaki kuzungumzia hilo ila napenda kujua kwa yeyote anayejua kama ulaji wa nyama yake una madhara yoyoye kiafya.

Ikiwa ina madhara kiafya basi tuendelee tu kuikabili adhaa ya ndege huyu, ila kama hana madhara basi tujuzwe tujifarij na nyama yake. Ni hayo tu
 
Ushawahi kuona kuku na bata wakichukua vyupi vya binadamu, bandeji au pamba zilizotumika kwenye madonda ya binadamu?
Ushaona kuku chakula chao kikuuu wanyama wenzao tena kwa kuokoteza mizoga?
Kama haujui kunguru ni kundi la scavengers kam a tai(vautures) na fisi(hyenas).
Hujawai kujiuliza kwanini predators wengi hasa wanaokula mizoga hawaliwi na binadamu?

Unadhani sababu nyama yao ina kemikali za sumu? Ni rahisi kuambukiza magonjwa toka kwa wanyama kwenda kwa binadamu na kinyume chake pia sahihi.

Unafikiri kwanini Zoo wanapowapa wanyama nyama ya aina ya ndege kama kuku lazima wachemshe?
Brain Storm
 
Sikiliza wewe...mimi ndo mtaalam. Hujui lolote kuhusu biblia.


Wapi umeambiwa hizo sio dhambi, ? Zote ni dhambi ,mla nguruwe na muongo wote jehanum kwa mujibu wa biblia

Au mwenzetu unabagua dhambi?

Biblia imesema ,uongo, uzinzi, kula nguruwe ni dhambi ,wewe unabagua baadhi

Agano gan hilo limeruhusu mle nguruwe ,sema huelewi maandiko ya mtume paulo


MAANDIKO YA MTUME PAULO WENGI WANAYAPOTOSHA ,NA NDIO SABABU YA WATU KULA KILA UCHAFU ,NA KILA MTU KUFUNGUA KANISA

MAKANISA MENGI UYAONAYO NI SABABU YA KUTOKUJUA AU KUYAPOTOSHA MAANDIKO YA MTUME PAULO


PETRO MTUME HATA YEYE YALIMCHANGANYA SANA AKATOA ONYO HILI

2 PETRO 3

15 Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;

16 vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.
 
Hili ni swali napenda tu kujua tafiti zinasemaje kuhusu ulaji wa nyama ya ndege huyu.

Amekuwa kero kila kona na walio wengi wanajua kero zake sasa sitaki kuzungumzia hilo ila napenda kujua kwa yeyote anayejua kama ulaji wa nyama yake una madhara yoyoye kiafya.

Ikiwa ina madhara kiafya basi tuendelee tu kuikabili adhaa ya ndege huyu, ila kama hana madhara basi tujuzwe tujifarij na nyama yake. Ni hayo tu
Kunguru nilishakula Mara moja nikiwa primary.

Tulimlenga na manati karibu na uwanja wa shule

Ila kuna Mzee mmoja fundi viatu alituonya sana kuhakikisha kuwa nyongo yake haipasuki kwakuwa tutakufa hapohapo

Pia nyama yake ukila hata kuonja tu inaleta KIU Sanaa

Unakunywa maji lakini bado ina kiu sana.
 
Nimewahi kumla huyo ndege, tafiti zangu zaonyesha yafuatayo.
1. Kuongeza nguvu za kiume
2. Kukata rehemu (cholesterol)
3. Inatoa kibamia na kurefusha
Hahaha utaua watu mkuu. Ndege huyo ana sumu mbaya kiasi ambacho pamoja na uchu wa wachina kwa kungulu na fisi wamechemka kuna wachina waliokuwa wanajenga kiwanda cha Dangote waliuziwa nyama za kungulu na fisi waoote waliokula nyama walipoteza maisha.
 
Kuna ndege ambao hauruhusiwi kuwaua kwa sababu za kimazingira (akiwemo kunguru). Hakuna aliyewahi kula nyama ya kunguru humu ni imani za ajabu tu.
 
Unataka kuwakomesha Kwa kuwageuza kitoweo duh, fursa hiyo ila siwezi kula hata, na naskia hata ukimpa mbwa nyama yake hagusi, usije ukafa buree
 
Back
Top Bottom