Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,652
- 5,634
Kma ni ivyo mbona panya anaoza na watu hawalinyama yake ni sumu ndio maana Akifa hata Sisimizi hasogei
Kma ni ivyo mbona panya anaoza na watu hawalinyama yake ni sumu ndio maana Akifa hata Sisimizi hasogei
Nani kakwambia watu hawali panya?Kma ni ivyo mbona panya anaoza na watu hawali
Si jamii ya watu wachache tuNani kakwambia watu hawali panya?
Kma ni ivyo mbona panya anaoza na watu hawali
Ungetangaza tuu ulaji wa nyama ya kunguru ni suluhisho la wenye tatizo la nguvu za kiume. Mbona hao kunguru wangepotea hadi wengine wangetunzwa kwenye jumba la makumbusho
Kisaki nahisi watu hulishwa na hayo makitu,maana zile nyama ni Mungu tu anajuaFika Kisaki
Mimi nimesema siyo kama ya ndege wengine. Hata mzoga wake hauliwi na waduduMkuu hili la kusema hana damu ni porojo za mtaani tu. Huwa wana damu.
Hili ni swali napenda tu kujua tafiti zinasemaje kuhusu ulaji wa nyama ya ndege huyu.
Amekuwa kero kila kona na walio wengi wanajua kero zake sasa sitaki kuzungumzia hilo ila napenda kujua kwa yeyote anayejua kama ulaji wa nyama yake una madhara yoyoye kiafya.
Ikiwa ina madhara kiafya basi tuendelee tu kuikabili adhaa ya ndege huyu, ila kama hana madhara basi tujuzwe tujifarij na nyama yake. Ni hayo tu
Nyama ya Kunguru ni sumu na haliwi na kiumbe yeyote.Hili ni swali napenda tu kujua tafiti zinasemaje kuhusu ulaji wa nyama ya ndege huyu.
Amekuwa kero kila kona na walio wengi wanajua kero zake sasa sitaki kuzungumzia hilo ila napenda kujua kwa yeyote anayejua kama ulaji wa nyama yake una madhara yoyoye kiafya.
Ikiwa ina madhara kiafya basi tuendelee tu kuikabili adhaa ya ndege huyu, ila kama hana madhara basi tujuzwe tujifarij na nyama yake. Ni hayo tu
Nyama ya kunguru ni sumu haifai kuliwa na binadamu. Unajua kunguru hana damu kama ndege wengine.
Kumbuka binadamu,wadudu na wanayama tunategemeana inamaana hata rais wa nyama simba nae hali kunguruNyama ya Kunguru ni sumu na haliwi na kiumbe yeyote.
Tunakula kitimoto sio nguruweKula tu mbona nguruwe ni haramu mnakula ,
Na mnatumia aya za biblia kupotosha kuwa mmeruhusiwa kula kila mnyama na ndege
Ungetangaza tuu ulaji wa nyama ya kunguru ni suluhisho la wenye tatizo la nguvu za kiume. Mbona hao kunguru wangepotea hadi wengine wangetunzwa kwenye jumba la makumbusho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukishaona kitu hakiliwi na mchina au mmakonde...usijaribu kula
Ukishaona kitu hakiliwi na mchina au mmakonde...usijaribu kula