TAFAKURI..

Bulaya001

JF-Expert Member
Dec 21, 2018
5,868
6,480
Michael Jackson alikuwa ni binadamu mwenye ndoto nyingi lakini Ndoto zake 2 kuu maishani zilikuwa ni:-

*1.* Kwanza ni kuwa mwanamziki mkubwa zaidi duniani wa Pop.

*2.* Kuishi miaka 150.

Baada ya kuifanikisha ndoto yake ya kwanza kwa ufanisi mkubwa aliamua kuanza kuwekeza kwenye ndoto yake ya pili ambayo kwa wakati huo ilikuwa ndiyo takwa lake kubwa

Ili aweze kuishi miaka 150 (Karne moja na nusu) aliamua kufanya mambo yafuatayo:-

*1* . Aliajiri madaktari binafsi 12 wa kumchunguza mwili wake wote hadi nywele na kucha kila siku.

*2.* Ilikuwa ni lazima chakula chake kipitie maabala kupimwa kabla hajala.

*3* . Wataalamu 15 aliwaajiri kufuatilia mazoezi,kazi na kila jambo alilofanya kila siku

*3* . Alitengeneza kitanda maalumu kilichokuwa na uwezo wa kufanya regulation ya hewa (oxygen)

*4.* Watu 50 waliwekwa tayari kujitolea viungo vyao kama angepata dharula yoyote. Aliwalisha, aliwatunza na kuwalipa mshahara kila siku kwa kazi hiyo.

Sasa alikuwa na uhakika wa kuishi karne moja na nusu bila mashaka yoyote lakini June 25, 2009 akiwa na miaka 50 moyo wake ulizima na ndoto yake ikawa imefika mwisho.Timu ya madaktari wake bingwa 12 haikuweza kuzuia pumzi yake isiondoke.

Pamoja na juhudi za madaktari wengine kutoka Calfornia na Los Angeles hawakuweza pia kuokoa maisha yake. Mtu ambaye kwa miaka 25 alikuwa hawezi kunyanyua unyayo wake bila ushauri na ruhusa ya daktari wake akawa kafika mwisho bila kutimiza ndoto yake ya kuishi miaka 150.

*Wewe na mimi tusio na uhakika wa kuhimili hata milo mitatu mwisho wetu ni upi?*

Safari ya mwisho ya Michael Jackson ilishuhudiwa moja kwa moja na zaidi ya watu milioni 3, Rekodi ambayo haijavunjwa hadi sasa. Siku aliyofariki mitandao mikubwa ya *wikipedia, twitter, AOL's instant messenger* ilielemewa na mzigo wa watumiaji waliokuwa wakisaka taarifa za kifo hiki hadi ikaacha kufanya kazi. *Google* pia ilivunja historia ya matumizi yake kwa siku ile.

Michael Jackson alitaka kupambana na kifo lakini hakuweza hata kufikia nusu ya umri aliopenda kuuishi.Uhai wetu upo mikononi mwa Mola Mlezi, yeye ndiye huutoa na ndiye auchukuaye milele.

Twamuomba Mungu wetu Mtukufu atujalie mwisho MWEMA, atuepushe na KIBURI na atujaze UPENDO kwa kila Binadamu.
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna bibi yangu kule umasaini wala hakua na mbwembwe zote hizo kama za MJ lakini alikufa akiwa na miaka 145!
wapiga debe kuhusu uhalisia wa mambo ambayo hupangwa na mungu wengi wao huishia kuangukia pua, kama ilivyokuwa kwa kiongoz flan iv mwasisi wa taifa flan huko ulaya aliaminia lazma atoboe na aione karne ya21 lkn matokeo yake alipoteza uhai oct 1999! Mungu hujidhihirisha pale unapoingilia wajibu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wapiga debe kuhusu uhalisia wa mambo ambayo hupangwa na mungu wengi wao huishia kuangukia pua, kama ilivyokuwa kwa kiongoz flan iv mwasisi wa taifa flan huko ulaya aliaminia lazma atoboe na aione karne ya21 lkn matokeo yake alipoteza uhai oct 1999! Mungu hujidhihirisha pale unapoingilia wajibu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi sana Mkuu!
 
Pesa sio kila kitu,.na kifo hakihongwi wala kahichagui masikini wala tajiri,mtoto au mzee...muhimu ni kumtukuza Mungu kwa kila hatua tunayopitia katika maisha yetu,.kumshukuru,kufanya ibada safi,kusaidia wanyonge tunapopata nafasi na uwezo wa kufanya hivyo,.

Ni vizuri kujiwekea akiba mbinguni ambako wezi,mchwa wala wadudu waharibifu hawafiki,kwa maana hazina zetu zilipo ndipo mioyo yetu itakapokuwa,.MWISHO;Mungu atupe neema na mwisho mwema kwani sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi.
 
Pesa sio kila kitu,.na kifo hakihongwi wala kahichagui masikini wala tajiri,mtoto au mzee...muhimu ni kumtukuza Mungu kwa kila hatua tunayopitia katika maisha yetu,.kumshukuru,kufanya ibada safi,kusaidia wanyonge tunapopata nafasi na uwezo wa kufanya hivyo,.

Ni vizuri kujiwekea akiba mbinguni ambako wezi,mchwa wala wadudu waharibifu hawafiki,kwa maana hazina zetu zilipo ndipo mioyo yetu itakapokuwa,.MWISHO;Mungu atupe neema na mwisho mwema kwani sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi.
@mother confessor tangu nimekujua humu JF leo ndio umeongea point tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michael Jackson alikuwa ni binadamu mwenye ndoto nyingi lakini Ndoto zake 2 kuu maishani zilikuwa ni:-

*1.* Kwanza ni kuwa mwanamziki mkubwa zaidi duniani wa Pop.

*2.* Kuishi miaka 150.

Baada ya kuifanikisha ndoto yake ya kwanza kwa ufanisi mkubwa aliamua kuanza kuwekeza kwenye ndoto yake ya pili ambayo kwa wakati huo ilikuwa ndiyo takwa lake kubwa

Ili aweze kuishi miaka 150 (Karne moja na nusu) aliamua kufanya mambo yafuatayo:-

*1* . Aliajiri madaktari binafsi 12 wa kumchunguza mwili wake wote hadi nywele na kucha kila siku.

*2.* Ilikuwa ni lazima chakula chake kipitie maabala kupimwa kabla hajala.

*3* . Wataalamu 15 aliwaajiri kufuatilia mazoezi,kazi na kila jambo alilofanya kila siku

*3* . Alitengeneza kitanda maalumu kilichokuwa na uwezo wa kufanya regulation ya hewa (oxygen)

*4.* Watu 50 waliwekwa tayari kujitolea viungo vyao kama angepata dharula yoyote. Aliwalisha, aliwatunza na kuwalipa mshahara kila siku kwa kazi hiyo.

Sasa alikuwa na uhakika wa kuishi karne moja na nusu bila mashaka yoyote lakini June 25, 2009 akiwa na miaka 50 moyo wake ulizima na ndoto yake ikawa imefika mwisho.Timu ya madaktari wake bingwa 12 haikuweza kuzuia pumzi yake isiondoke.

Pamoja na juhudi za madaktari wengine kutoka Calfornia na Los Angeles hawakuweza pia kuokoa maisha yake. Mtu ambaye kwa miaka 25 alikuwa hawezi kunyanyua unyayo wake bila ushauri na ruhusa ya daktari wake akawa kafika mwisho bila kutimiza ndoto yake ya kuishi miaka 150.

*Wewe na mimi tusio na uhakika wa kuhimili hata milo mitatu mwisho wetu ni upi?*

Safari ya mwisho ya Michael Jackson ilishuhudiwa moja kwa moja na zaidi ya watu milioni 3, Rekodi ambayo haijavunjwa hadi sasa. Siku aliyofariki mitandao mikubwa ya *wikipedia, twitter, AOL's instant messenger* ilielemewa na mzigo wa watumiaji waliokuwa wakisaka taarifa za kifo hiki hadi ikaacha kufanya kazi. *Google* pia ilivunja historia ya matumizi yake kwa siku ile.

Michael Jackson alitaka kupambana na kifo lakini hakuweza hata kufikia nusu ya umri aliopenda kuuishi.Uhai wetu upo mikononi mwa Mola Mlezi, yeye ndiye huutoa na ndiye auchukuaye milele.

Twamuomba Mungu wetu Mtukufu atujalie mwisho MWEMA, atuepushe na KIBURI na atujaze UPENDO kwa kila Binadamu.View attachment 1054709

Sent using Jamii Forums mobile app
Nshapiga konyagi mixer burudani wine nataka niongeze kitoko na eagle ya baridi sana... Nikalale...!!! Kuna wakati maisha hayahitaji complications nyingi

Jr
 
Nshapiga konyagi mixer burudani wine nataka niongeze kitoko na eagle ya baridi sana... Nikalale...!!! Kuna wakati maisha hayahitaji complications nyingi

Jr
tuishi tu tukijua kufa ni kama ile ghafla unahisi hali ya kupiga chafya, hamnaga namna tofaut na kukamisha tendo lenyewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom