mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,631
- 18,670
Mimi binafsi ninavyoona ,kwa hizi hasara ambazo zimejitokeza katika ripoti ya CAG ni wazi kuwa , pengine ni ile sheria ya kamba inafanya kazi tuiite the rope's law kwamba kila mmoja anakula pale kamba yake ilipofikia kwa sababu walaji wanaamini in the next government (Mungu ajaalie) hawatakuwepo kwenye Pdf.
Hivyo wanaona ni bora "CHUKUA CHAKO MAPEMA" Wewe hujiulizi kwanini deni la taifa linaongezeka? na taasisi n mashirika yaleyale badala ya kupunguza hasara , ndio hasara inaongezeka...
Halafu anajitokeza kigagula mmoja huko anakuja anaropoka baadaye kwamba "Deni la taifa ni stahimilivu na bado tunakopesheka"
Hivyo wanaona ni bora "CHUKUA CHAKO MAPEMA" Wewe hujiulizi kwanini deni la taifa linaongezeka? na taasisi n mashirika yaleyale badala ya kupunguza hasara , ndio hasara inaongezeka...
Halafu anajitokeza kigagula mmoja huko anakuja anaropoka baadaye kwamba "Deni la taifa ni stahimilivu na bado tunakopesheka"