Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,940
Kama utakuwa umefatilia kwa makini juu ya iliyokuwa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, utaona havina tofauti yoyote na mapendendekezo ya tume ya jaji Warioba juu ya muundo wa Serikali tatu (3) nchini Tanzania.
Iliyokuwa Halmshauri ya jiji la Dar es Salaam kimsingi haikuwa na eneo la kiutawala, ilikuwa inaelea tu au unaweza kuiita ilikuwa ya kufikirika au yakusadikika.
Halmshauri ya jiji ilikuwa inatengewa baheti lakini haikuwa na vyanzo vya mapato, ukiangalia ilikuwa inapokonya vyanzo vya mapato toka vyanzo vya manispaa zake, sometime miradi ya manispaa ilikuwa ina bajeti kotekote yaani manispaa husika imetenga bajeti yake na pia jiji lina bajeti ya mradi uouo unatekelezwa na manispaa.
Ili kufika hadhi ya kuwa jiji lazima kuwe ngazi za kufikia huko, huwa tunaanza na Mji=> Manispaa=> Jiji
Sasa sijui aliyokaipa hadhi ya jiji Dar es Salaam aliangalia nini mpaka kujumuisha manispaa zote 3 kuwa sehem moja.
Mapekezo ya Jaji Warioba juu ya Serikali 3 yasingeibua mgogoro wa kikatiba juu ya vyanzo vya mapato?
Hili ndo swali la msingi tulilopasea kujiuliza, maana serikali zote 2 zingekuwa zinaichangia serikali kuu ambayo haina eneo la kiutawala wala halina miradi yake specific zaidi kujitwalia miradi ya washirika wake wa bara na visiwani.
Karibuni
Iliyokuwa Halmshauri ya jiji la Dar es Salaam kimsingi haikuwa na eneo la kiutawala, ilikuwa inaelea tu au unaweza kuiita ilikuwa ya kufikirika au yakusadikika.
Halmshauri ya jiji ilikuwa inatengewa baheti lakini haikuwa na vyanzo vya mapato, ukiangalia ilikuwa inapokonya vyanzo vya mapato toka vyanzo vya manispaa zake, sometime miradi ya manispaa ilikuwa ina bajeti kotekote yaani manispaa husika imetenga bajeti yake na pia jiji lina bajeti ya mradi uouo unatekelezwa na manispaa.
Ili kufika hadhi ya kuwa jiji lazima kuwe ngazi za kufikia huko, huwa tunaanza na Mji=> Manispaa=> Jiji
Sasa sijui aliyokaipa hadhi ya jiji Dar es Salaam aliangalia nini mpaka kujumuisha manispaa zote 3 kuwa sehem moja.
Mapekezo ya Jaji Warioba juu ya Serikali 3 yasingeibua mgogoro wa kikatiba juu ya vyanzo vya mapato?
Hili ndo swali la msingi tulilopasea kujiuliza, maana serikali zote 2 zingekuwa zinaichangia serikali kuu ambayo haina eneo la kiutawala wala halina miradi yake specific zaidi kujitwalia miradi ya washirika wake wa bara na visiwani.
Karibuni