NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,538
- 17,473
Kama Taifa tumeshindwa kabisa kuwahodhi nguvukazi ya vijana WETU Hadi WAMEKUWA panyaroad wakikimbizana na polisi!huku ni kufeli kwa sera zetu za ajira japo tuna wabobezi katika uchumi pia ni wanasiasa wakubwa.
Wimbi la vijana waliokosa ajira litaongezeka KILA mwaka na kuzalisha wahalifu wengi,kuna kundi la wasomi waliohitimu mafunzo nao watakuja na u panyaroad wakisomi kama Taifa tumejiandaaje!!?tumekubali wasomi wetu kuwa panyaroad wajao wakitumia maarifa ya shule kuwa matapeli,majizi,wahuni na nk!?
Itafikia kipindi idadi ya panyaroad itazidi idadi ya polisi je serikali imejiandaaje!!?Jaribu kufikiria kama Watoto wa mtaani wameleta taharuki hivi karibuni mitaani Hadi polisi wakijinasibu kuwapiga Risasi je kundi la vijana wasio na ajira Baada ya kuhitimu masomo yao hilo tumejiandaaje kama hilo lililopo limetushinda Hadi tunatumia silaha za moto kupambana nalo linalokuja tutaliweza kweli!!?
Matumizi ya nguvu dhidi ya vijana Hawa ni kufeli KWA sera za uchumi na elimu kiasi kwamba tumeshindwa kuhodhi nguvu zao Hadi tunataka kuziua Sasa tujiandae na panyaroad wasomi wakabaji wasiotumia mabavu kama Hawa na kuleta sintofahamu nchini!
Wizara ya Elimu harakisheni mitaala ya elimu hasa ile ya kujiajiri Ili kuhodhi vijana na NGUVU zao kabla hatujatumbukia kwenye janga kuu kama Taifa!
Wimbi la vijana waliokosa ajira litaongezeka KILA mwaka na kuzalisha wahalifu wengi,kuna kundi la wasomi waliohitimu mafunzo nao watakuja na u panyaroad wakisomi kama Taifa tumejiandaaje!!?tumekubali wasomi wetu kuwa panyaroad wajao wakitumia maarifa ya shule kuwa matapeli,majizi,wahuni na nk!?
Itafikia kipindi idadi ya panyaroad itazidi idadi ya polisi je serikali imejiandaaje!!?Jaribu kufikiria kama Watoto wa mtaani wameleta taharuki hivi karibuni mitaani Hadi polisi wakijinasibu kuwapiga Risasi je kundi la vijana wasio na ajira Baada ya kuhitimu masomo yao hilo tumejiandaaje kama hilo lililopo limetushinda Hadi tunatumia silaha za moto kupambana nalo linalokuja tutaliweza kweli!!?
Matumizi ya nguvu dhidi ya vijana Hawa ni kufeli KWA sera za uchumi na elimu kiasi kwamba tumeshindwa kuhodhi nguvu zao Hadi tunataka kuziua Sasa tujiandae na panyaroad wasomi wakabaji wasiotumia mabavu kama Hawa na kuleta sintofahamu nchini!
Wizara ya Elimu harakisheni mitaala ya elimu hasa ile ya kujiajiri Ili kuhodhi vijana na NGUVU zao kabla hatujatumbukia kwenye janga kuu kama Taifa!