TAFAKARI: Kwanini Rais anaogopa kutubu?

TAFAKARI: Kwanini Rais anaogopa kutubu?

Akitubu maana yake ajutie dhambi alizotenda na awe amedhamiria kuziacha.

Huyu huyu...????!!!!!!
 
Wito umekwishatolewa na viongozi wakubwa wa kidini kumtaka Rais aende akatubu, na mara tu kauli hiyo ilipotolewa wapambe wa Rais walilipuka kwa hasira na hamaki kuipinga kauli hiyo ili kumlinda Rais asitubu. Mpaka sasa Rais hajajitokeza hadharani na kutubu.

Pasipo kuweka uchabiki katika hili, embu tujiulize haya maswali.
1/Kwanini Rais anaogopa kutubu?
2/Kuna kosa kumwambia Rais atubu?
3/Kuna hasara gani kama Rais ataamua kutubu?
4/Nini faida ya Toba kwa nchi ikiwa Rais atatubu kwa makosa yake au makosa ya watendaji wake?

Mkuu huyu bwana sasahivi ataenda kutubu wapi, kila akiingia mlango wa kanisa hukutana na vizingiti, huwezi kuwa muuaji ukaingia nyumba ya mungu malaika wakakuacha, utakuwa unaweweseka kama mtu unaeota na mwisho unaweza kuita ben saa nane mbona unanifuafuata na kugalagala, chezea mungu wewe
 
Back
Top Bottom