TAFAKARI: Kwanini Rais anaogopa kutubu?

TAFAKARI: Kwanini Rais anaogopa kutubu?

Mwenyezimungu huwapenda wenye kutubu(Quran 2:54, 2:222, 11:90,....etc). ...wasiotubu hao ndio wenye kudhulumu (Quran 49:11).

Kwa taifa lenye watu wenye kuabudu Mungu, sioni shida kwa watu kuhimizwa kutibu.
 
Wito umekwishatolewa na viongozi wakubwa wa kidini kumtaka Rais aende akatubu, na mara tu kauli hiyo ilipotolewa wapambe wa Rais walilipuka kwa hasira na hamaki kuipinga kauli hiyo ili kumlinda Rais asitubu. Mpaka sasa Rais hajajitokeza hadharani na kutubu.

Pasipo kuweka uchabiki katika hili, embu tujiulize haya maswali.
1/Kwanini Rais anaogopa kutubu?
2/Kuna kosa kumwambia Rais atubu?
3/Kuna hasara gani kama Rais ataamua kutubu?
4/Nini faida ya Toba kwa nchi ikiwa Rais atatubu kwa makosa yake au makosa ya watendaji wake?
Kwa Wakatoliki tu, Hivi siku hizi kuungama ni utaratibu ulio wazi
 
Mbona kijana wake bashite alienda kutubu tu kikombe cha cheti fake kimuepuke alienda madhabauni kwa bwana akilia machozi akaona aitoshi kesho yake akashona kanzu nzuri tukamuona msikitini akiwa kawekwa kati na mashehe akila toba akika mungu wake akumuacha na swala la veti likaisha kabisa nikaamini ata dhambi ikiwa nyekundu kama bendera itafanywa nyeupe kama kioo kwa kweli bashite alitubu ila baba yake kakataa ila leo anaweza kutubu tusubirini
 
Kwa sababu hataacha. Kwa maana ya kwamba atarudia tena kwa kuwa hayo ndiyo miguu ya kiti chake.

Sababu ya pili wanaomwabudu kama mungu wao watapunguziwa imani kwa kuona kumbe kuna Mungu Mkuu kuliko huyo wao.

Kiburi cha pharao.
Mtu akishafika point of no return, there is no turning back....no salvation!
 
Wito umekwishatolewa na viongozi wakubwa wa kidini kumtaka Rais aende akatubu, na mara tu kauli hiyo ilipotolewa wapambe wa Rais walilipuka kwa hasira na hamaki kuipinga kauli hiyo ili kumlinda Rais asitubu. Mpaka sasa Rais hajajitokeza hadharani na kutubu.

Pasipo kuweka uchabiki katika hili, embu tujiulize haya maswali.
1/Kwanini Rais anaogopa kutubu?
2/Kuna kosa kumwambia Rais atubu?
3/Kuna hasara gani kama Rais ataamua kutubu?
4/Nini faida ya Toba kwa nchi ikiwa Rais atatubu kwa makosa yake au makosa ya watendaji wake?
Yawezekana ametubu huko sirini na Mungu wake.
Kwenye faida za kutubu, ni mabadiliko kitabia na mienendo. Tuangalie incidences za utekaji na watu kupotea ka zita endelea, watu kupigwa risasi na haki za mtu mmoja mmoja au vikundi kukoma kukanyagwa.
 
Charles Taylor akiwa Rais wa Liberia aliwahi kutubu hadharani Miaka y'a 2000 mwanzoni
 
Wewe ulitaka atubu vipi? Rais wako ni mkatoliki na kitubio ni moja ya sacrament zao wakatoliki. Hivyo kutubu kwa wakatoliki ni siri kati ya padre kama mjumbe wa Mungu wake na yeye hivyo hizo kiki zenu za kusubiri mtu aanzishe na ninyi mje mtujazie server ni ujinga. Kuna mambo ya muhimu wananchi wanayahitaji kama walivyoahidi walipopita kujinadi kama milioni 50 kila kijiji. Huu ujumbe wa Kakobe tumeusikia hakuna haja kila mtu kuundia thread.
Swala la kakobe wali mishandle serekali hakukuwa na haja ya kuli amplify kwa kumjibu.
 
Toba inahusisha watu wengi sana nchi hii.....

Kimsingi wanasiasa wote wanatakiwa watubu......

Hata vitabu vya Mungu vinakataza kumshuhudia mtu uongo na ni dhambi kubwa.....

Nchi inakwenda mrama kwa kuwa wanasiasa wa nchi hii wana laana ya unafiki na uzandiki......



2b0a03b321d7813e152aed68e208ca3f.jpg


 
Kutubu ukiwa na Zigo la hirizi kiunoni ni kazi bure.
 
mnajuaje hajatubu....
Tungeona unyenyekevu, matunda ya toba yange onekana yaani mikutano ya siasa ruksa kujitokeza hafharani na kusema jamani mie nami ni mwanadam kwa hili na hili nisameheni na kwa haya nisameheni kwa sababu yametendwa na washirika zangu.. niombeeni ..... Ndiyo Toba na kubadilika mawazo kuelekea na kujielekeza ktk kutenda haki na kumtii Mungu
 
Swala la kakobe wali mishandle serekali hakukuwa na haja ya kuli amplify kwa kumjibu.
Hakuna niliposema serikali imelihandle vizuri labda kama sijui kusoma nini nilichokiandika. Mambo niliyasema ni kumjibu huyo niliyemjibu kwa kumfahamisha kuwa Magufuli ni muumini wa dhehebu la kikatoliki na kwao kitubio ni moja ya sacrament na kitubio ni siri yake na mungu wake na kwa imani yake padre ni mjumbe ama mwakilishi ktk hilo tendo.

Sasa sijajua wapi nmemzungumzia hata huyo kakobe
 
Naandika tena
Haya ya dini mlivyoyaleta kwenye siasa
Mjisikitikie

Wengine hata ya kutubu hamyafahamu bali mnaandika tu sijui kama nini.
 
Na aende akaungame, kwanza yeye Ana unafuu amwite Ikulu mzee wa katoliki baba pengo mchumia tumbo
 
Subiri jpili /dominika ya Leo ya mwisho wa mwaka 2017,tusikie salami za mwaka mpya
 
Hakuna ajuaje kama anakataa kutubu au keshatubu kwa Mungu wake kimyakimya (sio lazima akapige goti kwa Kakobe). So far yupo kimya na hizo kelele zinatoka kwa wachumia tumbo jamii ya Gambooo na Rwega-hasira
Kosa linalojulikana waziwazi lazima kulitubu waziwazi na si kimyakimya!
 
Back
Top Bottom