Tafakari hii picha

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,555
2,829
Tafakari

tafakari.jpg
 
Maana yake hakuna mlinganisho. Huwezi linganisha Kikwete na JKN kwa namna yoyote ile. ukiwalinganisha ni kama kufanya matusi tu. Huyu Kikwete ni kiongozi wa ovyo ovyo tu na hata JKN aliliona hilo na hata aliposema hatakiwi ikulu huyu bwana alikuwa anamfahamu vizuri.
Watanzania tuliliwa mwaka 2005 na sasa hatufanyi kosa tena.
CHAGUA DR SLAA KWA MAENDELEO YA NCHI HII. UKICHAGUA SISI MAFISADI NI SAWA NA KUITELEKEZA MIKONONI MWA MANYANG'AU NCHI YETU HII.
 
JKN ==> Ngoja niwasaidie wananchi wangu kuwaonyesha kuwa "siasa ni kilimo"
JMK==> Dah hapa nitachafuka sasa hivi, we mpiga picha hebu fanya haraka nataka kuinuka alaa!!!!
 
... yaelekea hata kuchota udongo kidogo atumia nguvu za ziada...... Angalia kwa makini hiyo picha..
 
mzee is acting the real life situation; kijana is performing a role-play.
 
Back
Top Bottom