Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,152
- 159,076
Eheee, majukumu yepi hayo?Hivi vyumba vyote 4 vya moyo vimegawana majukumu bana
Eheee, majukumu yepi hayo?Hivi vyumba vyote 4 vya moyo vimegawana majukumu bana
......haki Elimu.Ukiwa na 1000 ni pesa yako.
Ukiwa na laki 500000 ni pesa hako.
Ila unapokuwa na milioni mia, mitano...sio pesa yako.
Ila jamii imekuamini unaweza kuishikia pesa na kuitumia kwa ufasaha zaidi kuinufaisha...
Iheshimu pesa...chukua hatua.
Ahadi yetu hujaitimiza.... leo wiki sasa nakusubiri PMNgoja aje anirekebishe maana hadi nimekunywa k vant ndogo kwanza,..😆😆si mchezo asee duh!!!
We unapiga mahesabu tu badala utafute pesa unitumie.Ukiwa na 1000 ni pesa yako.
Ukiwa na laki 500000 ni pesa hako.
Ila unapokuwa na milioni mia, mitano...sio pesa yako.
Ila jamii imekuamini unaweza kuishikia pesa na kuitumia kwa ufasaha zaidi kuinufaisha...
Iheshimu pesa...chukua hatua.
Weeee ntaki radhi mie expert ohoooo😃😃😃hivi hukunijua shogaa?!Aaah kabisa.
Alafu ndio nini kubadilika kimya kimya!!!
Mie nikajua member mpya!!!!
Mzee ushatoka uchagani? Karibu mjini utaanza kuitwa babeHuyu Mother Confessor anajifanya kama Preta wa shades of sin.
Kama kuna mwanaume wa mwanamke mmoja huyo ni muongo na anatakiwa kuchomwa moto1. Mwanaume upo kwenye mahusiano na mwanamke anachoona kikubwa kwako ni kutokumcheat tu!!!!!
2. Mwanamke upo kwenye mahusiano na mwanaume faida yako ni sex tu?????
Chukua hatua.
Yaani mimi na mumu tunaweza kuwa member wapya?Aaah kabisa.
Alafu ndio nini kubadilika kimya kimya!!!
Mie nikajua member mpya!!!!
Anakuonea huruma tu.Pointi zinamgusa.
Mwifwa unaonaaaa😢😢Ahadi yetu hujaitimiza.... leo wiki sasa nakusubiri PM
Anataka nimtafute Ras simba ilihali january bado haijaisha, hapo ananionea kabisaHuyu Mother Confessor anajifanya kama Preta wa shades of sin.
Nsharudi babaake. Hapa nazichanga madogo waende shule kwa nidhamuMzee ushatoka uchagani? Karibu mjini utaanza kuitwa babe
Na hili wanawake hawalitaki hata kuskia.... wakati wenyewe wanaona.Kama kuna mwanaume wa mwanamke mmoja huyo ni muongo na anatakiwa kuchomwa moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanivunjia hesh'ma babuuu😭😭 mchapee espyYaani mimi na mumu tunaweza kuwa member wapya?
Sikukujua hata!! Nikawa nawaza huyu memba mpya mbona kama mwenyeji hapa mtaani!! Nikakutana na uzi wako wa kitaambo ndio nikagundua.Weeee ntaki radhi mie expert ohoooohivi hukunijua shogaa?!
WACHUCHU huwa hawajui adha za January... trust meAnataka nimtafute Ras simba ilihali january bado haijaisha, hapo ananionea kabisa
We umezeeka hadi maini uwe mpya wapi!!Yaani mimi na mumu tunaweza kuwa member wapya?