Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,719
Wawaulize mama zao, waliishije na baba zao? Simu zimekuja kutuvurugia mipango yetu sisi wanaume, zamani mzee alikuwa anaaga kuwa anaenda kusalimia ndugu zake wilaya nyingine au mkoa kumbe anaenda nyumba ndogo. Siku hizi ukijifanya unaenda wasalimia ndugu zako utafika na kukuta salam za mkeo za kukuulizia kama umefika
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili wanawake hawalitaki hata kuskia.... wakati wenyewe wanaona.
Sent using Jamii Forums mobile app