Tafadhalini sana mabinti.

Tafadhalini sana mabinti.

Sidhani kama kuna formula hapo maana wanaume hamtabiriki unaweza kumpa within 2 days akagonga na akatulia hapo hapo na mwingine ukamzungusha weee ukithubutu kumpa tu anagonga na kusepa zake so mapenzi hayana formula!

umenena
 
Wanaume sisi hatuna jema ukisumbuliwa sana utasema kwani upo peke yako ukipewa haraka haraka ili usiende kwengine unaleta uzi hapa.

Hapo sasa ndipo tunapokosea, mwanamke anatakiw kujifunza kukataa sio kila kitu anasema YES.

Wanaume tulio wengi tunahitaji mwanamke ambaye anakuwa mgumu yaani haingiliki kirahisi, sio mtu unametupia sound moja tu, akimwangalia mdada tayari kashakufa kaoza.
 
unajua tofauti yangu na wanaume wengine ni kwamba mie nilishajua kuwa wanawake wanagawa sana papuchi zao so napojikamatia papuchi sina mpango wakuweka kibanda hivyo basi wether atagegedwa na mwengi mie hilo halinihusu kabisaaaa


Kwa formula hiyo basi unafaaa kubadili kila kukicha.
 
Siku hizi hamna hizo bro za kufukuzia miaka 3 ili upate busu la shavu
 
vijana mnajidanganya sana.

wadada wanajua kabisa kwamba akikupa fasta utamdharau, so anachofanya anakunyima wewe hata mwaka lakini wengine pembeni anawapa kama kawa, ha ha ha unadhani wanawake hawapendi sex eh stop being stupid.

ladies are smarter than u think, utadhani huyu ndo mgumu kuvua chupi kumbi ni wewe tu ndo unayenyimwa.

CHA MSINGI, angalia maongezi yake na mwenendo wake na sio eti kavua chupi fasta, je kama alikua amezidiwa na nyege siku hiyo? kuvua chupi fasta sio kwamba ni mapepe na kukusumbua mda mrefu sio kwamba ni malaya.

watu walioa mabikira then later wakaja kuwafumania na minjemba nje na wapo walioa mapepe na wakatulia kwenye ndoa zao maana walishachoka kuona midushelele ya kila namna.


Uko sahihi kabisa,ila naona tunatofautiana tu kwenye jinsi ya kuwa chukulia.
Mi sipendi "An Easy lady",...yaana hata kwa utani tu unachovya duh.

Hata kama nabaniwa,anapewa mwingine,niko smart sana,nawafahamu hawa viumbe
lakini pamoja na kua kanibania,bado ata sifiwa na mimi kwamba "hakua maharagwe ya mbeya"
 
Sidhani kama kuna formula hapo maana wanaume hamtabiriki unaweza kumpa within 2 days akagonga na akatulia hapo hapo na mwingine ukamzungusha weee ukithubutu kumpa tu anagonga na kusepa zake so mapenzi hayana formula!

Formula ipo,unaweza i-derive toka kwenye mtazamo wako.
Ukiwapa haraka wanakua kama mimi (A),ukiwachelewesha wanadonoa na kuruka (B).

Cha kufanya,chukua A + B ugawe kwa 2 ili uwe kati kati,vipimo vya jibu lako viwe
katika TIME.

Kuwahi sana kunakuonesha jinsi ulivo mtu wa kujirahisi (kahaba for that sense).
Ukichelewa saaana napo kuna wengine wataona unalinga na wakidonoa tu watasepa.huh kazi unayo kweli.
 
Siku hizi hamna hizo bro za kufukuzia miaka 3 ili upate busu la shavu

Miaka mitatu ni too much.
Lakini hata siku moja (say masaa tu) nako ni kubaya zaidi.

Basi wafanye mwezi or two.....Siku moja??
 
Hapo sasa ndipo tunapokosea, mwanamke anatakiw kujifunza kukataa sio kila kitu anasema YES.

Wanaume tulio wengi tunahitaji mwanamke ambaye anakuwa mgumu yaani haingiliki kirahisi, sio mtu unametupia sound moja tu, akimwangalia mdada tayari kashakufa kaoza.
Mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, ikiwa wote kwa upande wa wanaume na wanawake tutafuata miiko waliyokuwa nayo wazee wetu. Vinginevyo sasa hivi ni usaniii mtupu.

Kwa nini usanii? Soma hapa;
Wasichana wengi siku hizi wameujua udhaifu huo hivyo nao wanachofanya wanakuzungusha wewe anayekupigia mahesabu ya future, lakini wakati huo huo anaendelea kukata kiu na wengine wa fasta fasta kama kawaida. Huku wewe unajisifu nimepata bonge la msichana mwenye msimamo simuachi mpaka ndoa.

Hii ina-apply pia kwa wavulana/wanaume mwenye ndoto za future.
 
Uko sahihi kabisa,ila naona tunatofautiana tu kwenye jinsi ya kuwa chukulia.
Mi sipendi "An Easy lady",...yaana hata kwa utani tu unachovya duh.

Hata kama nabaniwa,anapewa mwingine,niko smart sana,nawafahamu hawa viumbe
lakini pamoja na kua kanibania,bado ata sifiwa na mimi kwamba "hakua maharagwe ya mbeya"

ur right.

ok i can see ur very traditional. Good keep it up.
 
Hapo sasa ndipo tunapokosea, mwanamke anatakiw kujifunza kukataa sio kila kitu anasema YES.

Wanaume tulio wengi tunahitaji mwanamke ambaye anakuwa mgumu yaani haingiliki kirahisi, sio mtu unametupia sound moja tu, akimwangalia mdada tayari kashakufa kaoza.

Ewaaa,nahisi wewe ndo umeelewa context ilivokua.
Hata heshima ulokua unampa mwanzoni ina potea,hata kama
amefanya kwa kutaka kukuteka.

Wajue tu jambo moja,mwanaume akisema ana hamu,atafurahi zaidi ukisema
"NO,ni mapema mno",..au "NO,sipo tayari leo" etc. Kuliko ukisema "YES"
Halafu akamaliza kukojoa akaanza kutafakari tukio zima. Majanga.
 
Hapo sasa ndipo tunapokosea, mwanamke anatakiw kujifunza kukataa sio kila kitu anasema YES.

Wanaume tulio wengi tunahitaji mwanamke ambaye anakuwa mgumu yaani haingiliki kirahisi, sio mtu unametupia sound moja tu, akimwangalia mdada tayari kashakufa kaoza.

mh yani we unaongelea mwanaume kumtupia sound mwanamke?

mbona siku hizi wanawake wanatupa sound kwa wanaume tena bila haya wala nini?
 
Mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, ikiwa wote kwa upande wa wanaume na wanawake tutafuata miiko waliyokuwa nayo wazee wetu. Vinginevyo sasa hivi ni usaniii mtupu.

Kwa nini usanii? Soma hapa;
Wasichana wengi siku hizi wameujua udhaifu huo hivyo nao wanachofanya wanakuzungusha wewe anayekupigia mahesabu ya future, lakini wakati huo huo anaendelea kukata kiu na wengine wa fasta fasta kama kawaida. Huku wewe unajisifu nimepata bonge la msichana mwenye msimamo simuachi mpaka ndoa.

Hii ina-apply pia kwa wavulana/wanaume mwenye ndoto za future.

Kiukweli kabisa,una jisikiaje uki mu-approach mtu,ana kukubalia siku hiyo hiyo.
Na siku hiyo hiyo una chovya,tena ana lala kwako siku hiyo hiyo? Anaweza kua mke mtu kama
huyo?
 
Mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, ikiwa wote kwa upande wa wanaume na wanawake tutafuata miiko waliyokuwa nayo wazee wetu. Vinginevyo sasa hivi ni usaniii mtupu.

Kwa nini usanii? Soma hapa;
Wasichana wengi siku hizi wameujua udhaifu huo hivyo nao wanachofanya wanakuzungusha wewe anayekupigia mahesabu ya future, lakini wakati huo huo anaendelea kukata kiu na wengine wa fasta fasta kama kawaida. Huku wewe unajisifu nimepata bonge la msichana mwenye msimamo simuachi mpaka ndoa.

Hii ina-apply pia kwa wavulana/wanaume mwenye ndoto za future.

Ndiyo maana tunaambiwa tuchunguzane kabla ya kufunga ndoa. Mkuu grafani11 ukubali au ukatae ila huu ndio ukweli "mwanamke hawezi akawa ana future na mwanaume(Bf/Gf) lakini bado akawa anakata kiu na wanaume wengine". Huyo sasa hatokuwa mwanaume wa future bali sehemu pakupotezea muda tu.

Kama mtu unampenda na umepanga awe Husband/Wife wako wa baadae huwezi endelea kukata kiu na watu wengine na huku ukijidai uko na wife/husband in future.
 
mh yani we unaongelea mwanaume kumtupia sound mwanamke?

mbona siku hizi wanawake wanatupa sound kwa wanaume tena bila haya wala nini?
Wakienda India ndio watazima fegi kabisa, maana demu anatokea kidume na mahari analipa kama kawaida.
 
mh yani we unaongelea mwanaume kumtupia sound mwanamke?

mbona siku hizi wanawake wanatupa sound kwa wanaume tena bila haya wala nini?

Hiyo ipo ila haileti picha nzuri japo hata mwanamke ni binadamu na pia ana hisia zake lakini hapo inatakiwa awe na usubiri katika kufikia hatua hiyo ya kumweleza ya moyoni. Wanaume wengi hususa huku Tz wakiambiwa hayo humshusha hadhi huyo mwanamke na muda mwingine huanza kumwona kama hajatulia vile!!
 
Kiukweli kabisa,una jisikiaje uki mu-approach mtu,ana kukubalia siku hiyo hiyo.
Na siku hiyo hiyo una chovya,tena ana lala kwako siku hiyo hiyo? Anaweza kua mke mtu kama
huyo?
Hujawahi kusikia malaya wameolewa na wametulia nyumbani mkuu?

Sio wote unaowaona mitaani wanapenda kufanya yale wanayoyafanya, wengine imebidi ili mkono uende kinywani.
 
Kiukweli kabisa,una jisikiaje uki mu-approach mtu,ana kukubalia siku hiyo hiyo.
Na siku hiyo hiyo una chovya,tena ana lala kwako siku hiyo hiyo? Anaweza kua mke mtu kama
huyo?

ha ha ha ha kaka wewe bado hujayaona ya kizazi hichi cha digital

wake za watu wenyewe tumepinda mpaka basi, tunagawa hadi basi itakua hivyo visichana visivyojielewa vitaolewa na nani, bado vinacheza kamali ya mapenzi.

acha kufanya maisha yawe magumu zaidi, kwani kua mke wa mtu nini?
 
Hujawahi kusikia malaya wameolewa na wametulia nyumbani mkuu?

Sio wote unaowaona mitaani wanapenda kufanya yale wanayoyafanya, wengine imebidi ili mkono uende kinywani.

Dah,guy you are a risk taker.
 
ha ha ha ha kaka wewe bado hujayaona ya kizazi hichi cha digital

wake za watu wenyewe tumepinda mpaka basi, tunagawa hadi basi itakua hivyo visichana visivyojielewa vitaolewa na nani, bado vinacheza kamali ya mapenzi.

acha kufanya maisha yawe magumu zaidi, kwani kua mke wa mtu nini?

Yalaaaa!!!!!
 
Back
Top Bottom