KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Mrembo mbona unanipa mafumbo?,iyoo ingine iyoo ndio nini?,basi unipe hata kule PM.Ha ha ha! sasa hivi ban sio issue issue ni iyo nyingine iyooo
Mrembo mbona unanipa mafumbo?,iyoo ingine iyoo ndio nini?,basi unipe hata kule PM.Ha ha ha! sasa hivi ban sio issue issue ni iyo nyingine iyooo
nimeshtuka tu kuambiwa tusinyoeShunie vipi mbona umeshtuka?
ulifkili bas nitamfatisha uyo mtoa mada na kichaka chakeUsishtuke mrembo,hizo ni nywele tu kama za kichwani,usijitie pressure bure mrembo,wewe soma tu kilichoandikwa na ukiona kuna manufaa unaenda na wakati,ukiona zengwe unatupilia mbali kule.
Mimi najua wewe ni mrembo wa Brazilian wax mamii,yaani lainiiiiiiii kama velvet.nimeshtuka tu kuambiwa tusinyoe
Mrembo, sio lazima yawe marefu kama fagio la city council,kiasi kidogo tu kama brush ya viatu,hapo inaleta mshawasha na ajizi,yaani inakuwa chachandu flani hivi mamii.Aisee kweli tuko tofauti yani nikae na huo uchafu kwa miaka miwili?