Tafadhali wanawake msiwe mnanyoa Kabisa, Mnajidhalilisha

Tafadhali wanawake msiwe mnanyoa Kabisa, Mnajidhalilisha

Habarini Wadau,

Kuna jambo linaumiza sana. Hivi kwanini Wanawake mnapenda kuzinyoa zile nywele?

Ili iweje labda? Kama mwanamke anajiheshimu na kujitambua hawezi kukubali kunyoa hovyo hovyo mpaka anabakia kipara kama mtoto mdogo asiyevunja ungo bado.

Kwakweli inapendeza sana mkiziacha ziwe nyingi na kustawi ziwezavyo. Kwani hakuna chana madukani?

Mimi za mke wangu ikifika Christmas zinatimiza miaka miwili sasa na miezi minne hadi raha.

Nimemwambia siku akizinyoa nampa na talaka hapo hapo Wallah billah,

Yaani inaleta raha sanaaa wakati wa kuzifunua kwa mikono miwili ndio ukute kile kidude.

Kunyoa ni kiherehere na kuigaiga ujinga. Eti mnajidai usafi...kwani huwezi kufanya usafi zikiwa refuuuu haswa.

Tafadhali wanawake msinyoe.

Msitake laana.

Please n Please.

Heri ya Christmas,

dini yako yakuluhusu kufanya hivo endelea
 
Nywele kwa mwanamke ni fahari kwa mumewe na kwa maana hito mwanamke hapa si kunyolewa kabisa maana ni kifuniko pekee alichopewa na Mungu.ila kwa mwanaume ukifika nywele unajiaibisha.ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu
 
unataka watu wote wanafanane na mkeo!
wengine tunapenda vipara bhana, unagegeda huku unapiga konzi
 
Saingine ni ngumu kuamini kuwa humu Jf ni "Home of great thinkers.

Very true. Kuna watu wana akili za kitoto sana mpaka unashindwa kuelewa wanafikiria kupitia ubongo au sijui kitu gani
 
Hahaa aisee usiendelee kunywa nenda kalale.
Maana naona unaanza kufundisha dada zetu kunukia Kibua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kalusekelo kamemkolea haswaa.

ila we jamaa akili huna kabisa, eti usiwafundishe dada zetu kunuka kibua. [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom