Aksante sana umesomeka ukaeleweka na swali langu umelijibu kiulani maana unajua kuwa mimi ni mwanaume na ukanivunjisha ungo, hapo umri wako unajidhirisha wazi. UbarikiweMkuu kuna marashi yakipigwa kwenye mav'uzi marefu nakuambia hutotaka baby wako asogee mbali hata centimeter 5
Kuhusu kubalehe...nikiwa ndio nabalehe basi bila shaka wewe ndio unavunja ungo sasa.
Huyu dogo bado kabisha nadhani ni busara kwako Blood of Jesus umpotezeeWe lofa sema tu huwezi kugharamia Mav'uzi ya Mkeo
Watu wa humu ni balaaaa sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kalusekelo kamemkolea haswaa.
ila we jamaa akili huna kabisa, eti usiwafundishe dada zetu kunuka kibua. [emoji23] [emoji23]
Hivi unajua umemquote nani na Blood of Jesus ni yupi?Huyu dogo bado kabisha nadhani ni busara kwako Blood of Jesus umpotezee
Aksanta sana mkuu kwa kunitathimini, kiukweli sikujua kama nakurupuka angalau wewe umenisaidia sitarudia kukurupuka tena ila wewe na hili andiko lako mh!! aheri mtu akurupuke ila si......Hivi unajua umemquote nani na Blood of Jesus ni yupi?
We unakurupuka tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wataachia MMU tuHalafu policcm wanataka watufungie jf yetu...aaa aaa tutaandamana mpaka ikulu
Hiii ndio shida ya mihemko ni wa kumsamehe tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Angalia huwa yanakata dushe. Ni kama wembeHabarini Wadau,
Kuna jambo linaumiza sana. Hivi kwanini Wanawake mnapenda kuzinyoa zile nywele?
Ili iweje labda? Kama mwanamke anajiheshimu na kujitambua hawezi kukubali kunyoa hovyo hovyo mpaka anabakia kipara kama mtoto mdogo asiyevunja ungo bado.
Kwakweli inapendeza sana mkiziacha ziwe nyingi na kustawi ziwezavyo. Kwani hakuna chana madukani?
Mimi za mke wangu ikifika Christmas zinatimiza miaka miwili sasa na miezi minne hadi raha.
Nimemwambia siku akizinyoa nampa na talaka hapo hapo Wallah billah,
Yaani inaleta raha sanaaa wakati wa kuzifunua kwa mikono miwili ndio ukute kile kidude.
Kunyoa ni kiherehere na kuigaiga ujinga. Eti mnajidai usafi...kwani huwezi kufanya usafi zikiwa refuuuu haswa.
Tafadhali wanawake msinyoe.
Msitake laana.
Please n Please.
Heri ya Christmas,
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu mkuuHahaa aisee usiendelee kunywa nenda kalale.
Maana naona unaanza kufundisha dada zetu kunukia Kibua.