PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Mwalimu wa History Kawauliza Wanafunzi
Mwl: Eeehe ! Ni Nani Aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunz 1: Aka Sio Mimi !
wa 2: Wallah ! Sihusiki !
wa 3: Kwanza Me Jana ckuja Shule!
Mwl Alipoona Wanafunzi Wote Ni vilaza Akaamua Kumuita Mkuu Wa Shule, Mkuu Wa Shule Alipoenda akawauliza Lile Swali "kwa vitisho" Mambo Yakawa Vilevile. Ndipo(mkuu wa shule) Alipomuita Mwalimu Pembeni Na Kumnong'oneza "Lakini Una Uhakika Muuaji Yupo Darasa Hili?" Mwalim Akazimia
Mwl: Eeehe ! Ni Nani Aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunz 1: Aka Sio Mimi !
wa 2: Wallah ! Sihusiki !
wa 3: Kwanza Me Jana ckuja Shule!
Mwl Alipoona Wanafunzi Wote Ni vilaza Akaamua Kumuita Mkuu Wa Shule, Mkuu Wa Shule Alipoenda akawauliza Lile Swali "kwa vitisho" Mambo Yakawa Vilevile. Ndipo(mkuu wa shule) Alipomuita Mwalimu Pembeni Na Kumnong'oneza "Lakini Una Uhakika Muuaji Yupo Darasa Hili?" Mwalim Akazimia