Mr Lukwaro
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 357
- 621
Kauli ya mashabiki wa Yanga ikiwaelekea SINGIDA BIG STARS ikisema " Tafadhali Singida msuruhusu goli 5 kwenye Mechi ya leo"
Niwazi kuwa Mashabiki wa Yanga wanataka ushindi wao wa Goli 5 uzidi kuchukua Headlines.
"Mashabiki wasimba wanasema " Hii mechi ya leo ni salamu kwa Al A....."
Matambo ya ligi ya ndani NBC, kwa sasa imeamia kwenye Draw ya CAF.
Hivi kati ya Yanga na Simba nani mwenye possibility ya kuvuka kwenda Nusu fainali?!
Wamakonde wanasema , ukiamka
Nchale, Ukilala Nchale...😂
Niwazi kuwa Mashabiki wa Yanga wanataka ushindi wao wa Goli 5 uzidi kuchukua Headlines.
"Mashabiki wasimba wanasema " Hii mechi ya leo ni salamu kwa Al A....."
Matambo ya ligi ya ndani NBC, kwa sasa imeamia kwenye Draw ya CAF.
Hivi kati ya Yanga na Simba nani mwenye possibility ya kuvuka kwenda Nusu fainali?!
Wamakonde wanasema , ukiamka