Sikuwahi kuamini Simba tulifungwa kihalali zile 5 ila baada ya mechi ya leo nimeamini

Cashman

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
2,293
3,965
Bila unafiki wowote naomba niwapongeze sana kwa kikosi bora na uongozi wa watu wenye maono.

Ninaomba radhi kwa maneno mabaya niliyowahi kusema juu yenu nikiamini kuna michezo isiyo ya kimichezo mnaifanya ili kushinda.
Lakini sasa baada ya mechi ya leo sina sababu yoyote ya kutoamini ninyi Yanga ni bora sana.
Mna haki ya kuzifunga goli 5 tano timu za ligi yetu.Sisi Simba mmetuonesha tulivyo na viongozi wahuni kwa sasa
 
Bila unafiki wowote naomba niwapongeze sana kwa kikosi bora na uongozi wa watu wenye maono.

Ninaomba radhi kwa maneno mabaya niliyowahi kusema juu yenu nikiamini kuna michezo isiyo ya kimichezo mnaifanya ili kushinda.
Lakini sasa baada ya mechi ya leo sina sababu yoyote ya kuamini ninyi Yanga ni bora sana.
Mna haki ya kuzifunga goli 5 tano timu za ligi yetu.Sisi Simba mmetuonesha tulivyo na viongozi wahuni kwa sasa
Asante kwa pongezi, uungwana ni vitendo. Na wakiendelea kubisha wasubiri mechi ya mzunguko wa pili.
 
Back
Top Bottom