GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,033
Wanangonoliwa na Wanaume hadi Huruma na wengi Wao hata ukiwaomba upite nao Barabara za Vumbi tupu ili tutokee Yombo Buza kwa Mpalange wala hawakatai na tena Siku zingine Wao ndiyo wanakumbusha Madereva tukuka wapite huko.
Hali ni mbaya sana Wakuu hebu tuamkeni na tuje na Suluhisho ili kwa pamoja kwa kushirikiana na Serikali tuweze Kuwaokoa kwani wengi wao pia hupatwa na Janga la VVU ndiyo maana Wengine kwa Kuwaogopa sasa tumeamua Kubobea Kuokota tu Mijimama na hata Mibibi ikibidi ili kuvikwepa hivi Vibinti ambavyo Vimeshaukwaa kwa kupenda Kwao Chips, Soda, Nguo, Hela na Lifti wa Magari, Bajaji, Bodaboda na hata ya Baiskeli yangu ya Phoenix za 1940 ninayoimiliki hadi leo.
Hali ni mbaya sana Wakuu hebu tuamkeni na tuje na Suluhisho ili kwa pamoja kwa kushirikiana na Serikali tuweze Kuwaokoa kwani wengi wao pia hupatwa na Janga la VVU ndiyo maana Wengine kwa Kuwaogopa sasa tumeamua Kubobea Kuokota tu Mijimama na hata Mibibi ikibidi ili kuvikwepa hivi Vibinti ambavyo Vimeshaukwaa kwa kupenda Kwao Chips, Soda, Nguo, Hela na Lifti wa Magari, Bajaji, Bodaboda na hata ya Baiskeli yangu ya Phoenix za 1940 ninayoimiliki hadi leo.