Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Mimi ni kijana mwenye miaka chini ya 30. Nahitaji kuwa na rafiki wa kike mwenye miaka 30 na kuendelea, tuwe marafiki wa kuwasiliana na kuonana inapotokea wote tumepata nafasi.
Ningependa awe mwanamke anayejiheshimu ambaye tutapeana mawazo ya kujenga zaidi na si ya ovyo ovyo tu. Sitajali ana kazi au hana, dini wala kabila cha msingi awe mtu mwelewa.
Naamini kuwa na rafiki wa kike aliyenizidi.umri atakuwa kama mtu mwenye kunielekeza ninapokosea na kuwa mshauri katika mambo yangu.
Nahitaji rafiki mkweli na asiye na dharau. Awe na miaka yoyote ile lakini zaidi ya 30, Asanteni sana.
email: mchunguzihuru@hotmail.com
Ningependa awe mwanamke anayejiheshimu ambaye tutapeana mawazo ya kujenga zaidi na si ya ovyo ovyo tu. Sitajali ana kazi au hana, dini wala kabila cha msingi awe mtu mwelewa.
Naamini kuwa na rafiki wa kike aliyenizidi.umri atakuwa kama mtu mwenye kunielekeza ninapokosea na kuwa mshauri katika mambo yangu.
Nahitaji rafiki mkweli na asiye na dharau. Awe na miaka yoyote ile lakini zaidi ya 30, Asanteni sana.
email: mchunguzihuru@hotmail.com