Tafadhali baba usirudi tena bungeni

Tafadhali baba usirudi tena bungeni

Makamee

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
2,029
Reaction score
1,201
Yaliokupata mimi kama mwanao nasema inatosha.
1.WALIKUZOMEA
2.WALIKUHONGA WALI NA SODA,
3.WALIKUITA INTARAHAMWE,

Hivi baba hayakuchomi haya haya?
Ukirudi tena bungeni mimi naomba uniondoe ktk orodha ya watoto wako.
 
Na bado akirudi tena lazima UKAWA wamvunje kiuno.
Washasema hawataki mchezo Tanganyika kwanza.
 
Hayo maneno babayako akiyasikia atakulaani leo leo.Aache laki tatu kkisa kuzomewa ? Aache fursa ya kuspendi na vyangudoa Dodoma. Hata mama yako amekustukia maana babayako akirudi bungeni mama nae anapata nafasi ya kuspendi na kale kaserengeti boy kake. wewe si uko chuo haya ya mama huyajui.
Dogo imekula kwako.
 
lakini umeona kapata peas ya kumalizia kibanda chake alichopiga msingi miaka 5 iliyopita....? muache aende atanunua kagari safari hii.....
 
lakini umeona kapata peas ya kumalizia kibanda chake alichopiga msingi miaka 5 iliyopita....? muache aende atanunua kagari safari hii.....

Nashkuru mzee wangu alipata akili ya kujijenga kimaisha sinse 1980's
 
Kwa ninavyomjua mbele ya pesa... yuko tayari kusema wewe sio mwanawe.!
 
Yaliokupata mimi kama mwanao nasema inatosha.
1.WALIKUZOMEA
2.WALIKUHONGA WALI NA SODA,
3.WALIKUITA INTARAHAMWE,

Hivi baba hayakuchomi haya haya?
Ukirudi tena bungeni mimi naomba uniondoe ktk orodha ya watoto wako.


Aache kurudi bungeni, na wale machangu walio athirika nani atawahonga?
 
wala baba yako hayupo bungeni unajishaua hapa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom