acha kumtisha mkuu, au kwa sababu ni tarehe za mwanzo wa mwezi hela bado ipo?Kuna mshkaji wangu yuko hapo na yumo JF.. Nimshtue akuchek.. Ila make sure una hela ya Beer..maana mshkaji akianza ni mpaka majogoo.
Mmh, mbona binti yangu naye kaenda Tabora leo?
Na kanijulisha keshafika.
Asije kuwa ndo anajiita hili jina!!!
Tabora ndio wapi?!
MP.
Jamani wale wa Mboka.....mwenzenu huyoooo!!!
Wasalimie wa uhazili. kanyenye. rufita. waambie nawakumbuka.